Jifunze kichina cha kuongea

Jifunze kichina cha kuongea

pingu mkoka

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
434
Reaction score
112
Je,unapenda kujifunza kuongea kichina?
Mandarin chinese
Kuanzia feb 1-2014 tutaanza kufundisha kichina,mafunzo ni miezi mitano,yaan feb 1_july 1.
Mahali sinza mapambano primary school iliyopo kinondon dar es salaam.
Mda ni juma 3 hadi ijumaa,kuanzia saa 11:30 jion had saa 2:00 usiku.masaa 2:30.
Ada ni sh.800,000,unaweza lipa kwa awamu.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na mwalimu Peter Majollo anapatikana SINO-TANZANIA FRIEND SHIP HOSPITAL iliyopo sinza mapambano kila siku isipokuwa juma pili tu.
Simu 0758-914370 yeyote anayependa kujifunza anakaribishwa sana.
Thanks.
 
Kingereza hamjui, halafu kichina miez 3 tu unakuwa pro! sawa,
ila tahadhari
Chinesse Speaking is Dangerous to your Tongue!
 
Je,unapenda kujifunza kuongea kichina?
Mandarin chinese
Kuanzia feb 1-2014 tutaanza kufundisha kichina,mafunzo ni miezi mitano,yaan feb 1_july 1.
Mahali sinza mapambano primary school iliyopo kinondon dar es salaam.
Mda ni juma 3 hadi ijumaa,kuanzia saa 11:30 jion had saa 2:00 usiku.masaa 2:30.
Ada ni sh.800,000,unaweza lipa kwa awamu.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na mwalimu Peter Majollo anapatikana SINO-TANZANIA FRIEND SHIP HOSPITAL iliyopo sinza mapambano kila siku isipokuwa juma pili tu.
Simu 0758-914370 yeyote anayependa kujifunza anakaribishwa sana.
Thanks.


...njoo ufunguwe darasa Arusha kuna soko kubwa sana katika utalii
 
Thanks mkuu, i was looking for this opportunity. Sema mmh price
 
mi nimeipenda ila naomba mnifundishe kwanza matusi ya kichina,,kwa sababu hapa bongo kila mtu utasikia f@cck u!,,tumechoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom