Smokey D
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,632
- 2,115
Ningependa kujua bei ya hayo mabox mkuu..Naona kama naitaji moja kwa matumizi binafsikuna piranha box,miracle box,volcano box,z3x,bst,sigma nk
Ningependa kujua bei ya hayo mabox mkuu..Naona kama naitaji moja kwa matumizi binafsikuna piranha box,miracle box,volcano box,z3x,bst,sigma nk
Unataka ku unlock smu gantujifunze jinsi ya kuunlock sim
Mi natumia halotel H8501 nilipeleka kuflashi ametumia software lakini alificha pc aliyotumia kuflash hi android na sasa natumia laini zozote si halotel tuNi jinsigani naweza ku-unlock simu ya lain moja itumie lain tofauti?
Hasa simu zisizo unlokiwa kwa code mfano halotel.
kuna piranha box,miracle box,volcano box,z3x,bst,sigma nk
Mkuu tecno y3+ ina unlockiwa kwa sh. Ngap sasa!?kuunlock sim za promotion kwa mfano kama tecno y3+,tecno,huawei,vodafone,bravoz10,halotel,samsung n.k inahtajika box ya kukuwezesha kuunlock box hii inaitwa sigma box baada ya kuwa nayo unaweza maelekezo kutoka google kama hauna itakubd utafute sehem wanazoflash na kuunlock waweze kukutimizia lengo lako
Mkuu, toka jana simu angu upande wa line ya voda nimeshindwa kutuma msg ila huduma zingine zinafanyika, nimewapigia customer care wa voda wananiambia hkn huduma iliyofungwa, nisaidie cha kufanya, natumia tecno c8.Kwa ufupi mimi na-deal software za simu sana sana kuflash simu kwa hiyo nina uzoefu mkubwa, nipo pale Kariakoo kwa hiyo ningependa kusikia swali lolote toka kwenu wadau.
==========
Hizi ni sababu kubwa zinazopelekea simu yako kuwa ya moto
1.Program kujiendesha zenyewe
2.Virus ambazo zinashugulisha program zisizo htajika kurun in background
3.Kufunga program ulikuwa unatumia kwa kutumia hom button
MASULIHISHO
- Hakikisha unafunga program yako kwa kutumia back button kwan hyo program ambayo ulikuwa unatumia itafunga moja moja
- Ukiweka angalia usidownload programm zozote ambazo zinakuwa zina pop up kwan zinaleta virus kwa kiasi kikubwa
Au tatizo likizidi kwa simu yako tafadhali kama una uwezo kuiflash sim yako au kuiupdates kama virus watakuwa wameathiri kwa kiasi kikubwa au tunaweza kuwasiliana kwa namba 0653868632 au fika Kariakoo soft barabara ya uhuru kwenye screen kubwa, pale ya matangazo ukifika pale tunaweza wasiliana ukaja ofisini
Mkuu uludodi naweza kutumia code ya tatizo lako na simu yako ikarudi kama zamani kwa 10000 tu ni pm kama utapendaNina simu Samsung s4 nililset sasa sahizi nikizima au kuwasha inaandika android badala ya Samsung niifanyeje ili irudi kama zamani I??
Tumia code hizi itarudi kudisplay logo ya samsung kama awali hii ni copy s4 na si s4 og *#0066# or *#8800#Nina simu Samsung s4 nililset sasa sahizi nikizima au kuwasha inaandika android badala ya Samsung niifanyeje ili irudi kama zamani I??