EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,177
- 25,512
Mkuu, nimekuwa nikiboleka na maneno hayo kwa simu yangu, yaani hadi kero.UNFOURTELTY GOOGLE HAS STOPPED
Mkuu, nimekuwa nikiboleka na maneno hayo kwa simu yangu, yaani hadi kero.UNFOURTELTY GOOGLE HAS STOPPED
Naomba suluhisho, simu yangu (Huawei G6 u10) huwa inajaa mara kwa mara hata nikitoa media zote za whatssap (ambazo maranyingi zinakula space) bado space kubwa inaonekata imetumika.Kwa ufupi mimi na-deal software za simu sana sana kuflash simu kwa hiyo nina uzoefu mkubwa, nipo pale Kariakoo kwa hiyo ningependa kusikia swali lolote toka kwenu wadau.
==========
Hizi ni sababu kubwa zinazopelekea simu yako kuwa ya moto
1.Program kujiendesha zenyewe
2.Virus ambazo zinashugulisha program zisizo htajika kurun in background
3.Kufunga program ulikuwa unatumia kwa kutumia hom button
MASULIHISHO
- Hakikisha unafunga program yako kwa kutumia back button kwan hyo program ambayo ulikuwa unatumia itafunga moja moja
- Ukiweka angalia usidownload programm zozote ambazo zinakuwa zina pop up kwan zinaleta virus kwa kiasi kikubwa
Au tatizo likizidi kwa simu yako tafadhali kama una uwezo kuiflash sim yako au kuiupdates kama virus watakuwa wameathiri kwa kiasi kikubwa au tunaweza kuwasiliana kwa namba 0653868632 au fika Kariakoo soft barabara ya uhuru kwenye screen kubwa, pale ya matangazo ukifika pale tunaweza wasiliana ukaja ofisini
Naamini umeleta humu huu uzi si kwa matangazo ya biashara yako bali kupanua uelewa kwa wengine, na si matangazo tu. Niko Lorya Mara, nimeomba kujibiwa hoja hapo juu, siwezi kufika K/koo kupata hiyo uelewa, thamani ya simu tu itaishia njiani.KARIAKOO SOFT
GUYS SAMAHAN KWA KUTOJIBU MASWALI YENU ON TIME LAKN NAJITAID NIFANYE MPANGILIO MZUR ILI NIWEZE KUWA NA WATU NYIE KARIBU LAKN KWA MSAADA ZAID UNAWEZA KUFIKA KARIAKOO BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KWENYE SCREEN KUBWA YA MATANGAZO KWA USHAUR NA MSAADA CTOMCHAJ M2 GHARAMA YOYOTE ILE HATA KWA WALE WANAOHITAJI KUJIFUNZA JINSI YA KUFLASH SIM PIA MNAKARIBISWA
MAWASILIANO 0653868632
hebu ni PM ofisi yako ilipo nikuletee kazi au weka hapa location ofisi yako ipo mtaa gani
Nimedownload kies 3. Vipi inafaaKAMA UNACOMPUTER DOWNLOAD SAMSUNG KIES BAADA YA HAPO INSTALL HALAF CHOMEKA SIMU NA COMPUTER KWA KUPITIA USB CABLE HALAF FUATA MAELEKEZO YA KUUPGRADE SIMU YAKO