Jifunze jinsi ya kutumia vizuri android yako

Jifunze jinsi ya kutumia vizuri android yako

Hiyo sigma box n app?
sigma box ni software ambayo ili iweze kufanya kazi lazima uwe na box yake kama hii hapa
 

Attachments

  • SigmaBox-with-Cables.jpg
    SigmaBox-with-Cables.jpg
    22.8 KB · Views: 74
sigma box ni hardware ambayo inatumika kuunlock pia software yake ipo lakn haiwez kufanya kaz ya bila ya kuwa na box
we kama kanjanja flani hivi sigma box ni hardware we kanjanja acha kutaka kuibia watu we nirafiki wa fundi na si fundi kwa kifupi wewe ni dalali wa kazi za watu
 

Attachments

  • SigmaBox-with-Cables.jpg
    SigmaBox-with-Cables.jpg
    22.8 KB · Views: 68
Matumizi mazuri ya smartphone yako .

Nipo hapa kujibu maswali yenu wadau.

Asanteni.
 
ndio inawezekana kama kwel mzim upo serious chukua namba zangu tuongee ili niweze kuitoa hyo bb id
 
HAPANA OFFICIAL UPDATE BADO HUAWEI HAWAJATOI LABDA TUWEKE CUSTOM ROM
 
Nataka betri ya iphone4s ni bei gani na ufundi""?Na kubafili kioo cha iphone 4g bei gani?
 
Nenda Mlimany City na Msasani mall kuna iStore
Nazijua hizi mall, hawana msaada kwangu.. Hawa wanauza simu mpya na kusaidia mamno ya software.. Hata shoppers masaki wapo...
Nataka kujua bei ya huyo jamaa sio kwamba sina fundi
 
nitakutafuta nikimpata yule alotaka kuniuzia hiyo simu 7bu nilishindwa kuinunua kutokana na hyo ishu wengi walishindwaa kkoo
Hiyo simu sidhan kama ina custom rom na hata ikiwepo itakua sio stable kabisa..
Chakufanya nunua hata samsung au brand yoyote yenye support kubwa ya developers ili uweze kupata hizo updates incase ukakosa official updates
 
Hiyo simu sidhan kama ina custom rom na hata ikiwepo itakua sio stable kabisa..
Chakufanya nunua hata samsung au brand yoyote yenye support kubwa ya developers ili uweze kupata hizo updates incase ukakosa official updates
[emoji47] [emoji47] [emoji47] [emoji47] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji99] [emoji99] [emoji99] [emoji99]
 
🙁Iphne yangu haipigi picha
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    29 KB · Views: 67
Nina itel it 501 nikiingia net inakata network, Je tatizo nini unaweza kunisaidia mkuu inasumbua sana inani nyima raha kabisa?
 
KCAMP
HYO ITAKUWA INASHIDA YA NETWORK CONFLICT KWA HIYO JARIBU KUFANYA SOFT RESET AU KWA MSAADA ZAID TUNAWEZA KUWASILIANO
 
Nahitaji kuinstall google playstore kwenye Nokia XL yangu, vpp inawezekana????? maana inatumia os ya android ila haina google playstore
 
Back
Top Bottom