jifunze How to Convert 1GBMemory Card into 2GB

jifunze How to Convert 1GBMemory Card into 2GB

Mimi naomba msaada wa software ya kubadilisha desktop computer iwe laptop! Nitashukuru kwa kunisaidia.

Ukipata namimi nitaarifu maana hii kisogo yangu imenichosha??
 
hivi nokia 3310 unaweza weka software ikakamata 3G!

no3310_00.jpg

NO hauwezi fanya simu ambayo haina 3G ishike 3G kwa sababu 3G ni hardware based technology na kuna vifaa maalumu vinayo fungwa kwenye simu kwaajili 3G, nisawa na kununua simu isiyo kua na camera then eti uiwekee camera that's is impossible, I hope umenielewa
 
Mimi naomba msaada wa software ya kubadilisha desktop computer iwe laptop! Nitashukuru kwa kunisaidia.

Ha ha ha haya sasa lazima tuwe makin na software tunazo download zaweza leta viruc kwenye mashine zetu tuwe makin na hizi software za kuambiwa
 
Mie nilijaribu skymedfix 4gb,8gb pia drivers increaser na nikweli memory au flash yako itaonyesha imepanda kuwa 2,4 au8 gb.
sasa ukifanya test mfano awali ilikuwa 1gb ukabadili kuwa 2 but ukijaribu kuingiza data za 2 gb haikubali kamwe
 
Mimi naomba msaada wa software ya kubadilisha desktop computer iwe laptop! Nitashukuru kwa kunisaidia.
Jamani hii thread inafurahisha kila post.............naendelea kupitia moja moja
 
no3310_00.jpg

NO hauwezi fanya simu ambayo haina 3G ishike 3G kwa sababu 3G ni hardware based technology na kuna vifaa maalumu vinayo fungwa kwenye simu kwaajili 3G, nisawa na kununua simu isiyo kua na camera then eti uiwekee camera that's is impossible, I hope umenielewa

Extenal camera je!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom