Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,385
UkurasaNahisi kuandika kitu lkn Nafsi inanisuta, nahisi nitachafua ukulasa bule.
![]()
![]()
![]()
![]()
Bure
Kwa hisani ya Faizafoxy
UkurasaNahisi kuandika kitu lkn Nafsi inanisuta, nahisi nitachafua ukulasa bule.
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu samahani kwani wale jamaa waliokuwa wanasaini mmikataba ya hovyo na wenyewe walishawahi kusomewa Ahlul-badr ikagomaNi aina fulani ya kujifariji pia.
Al Badr ingekuwa inafanya kazi, waliosaini mikataba mibovu wote wangekuwa washakufa vifo vibaya sana.
Badala yake wanadunda na kututukana malofa kila mwaka.
Mi kiukweli naona huu ni mchezo wa kumwaga sukari baharini..bora kuna muislam kacomment albadiri ni shirki na sio uislam....hili ni dua la kuku tuNi aina fulani ya kujifariji pia.
Al Badr ingekuwa inafanya kazi, waliosaini mikataba mibovu wote wangekuwa washakufa vifo vibaya sana.
Badala yake wanadunda na kututukana malofa kila mwaka.
Ina maada dini ilipo albadir ni waendekeza uchawi?
Wachawi wanaposoma talasimu zao huwadanganya watu kwa kuanza kusoma baadhi ya aya au sura ndogo ndogo za Qur-aan na kulitajataja jina la Nabii SULAYMAAN na utawasikia daima wanamnasibisha Mtume huyu ('Alayhis Salaam) na kufru zao hizo ili wajinga wanaowafuata wadhani kwamba hayo yamo katika dini.Sasa mbona inaaminika kwamba wanamlilia Mungu hebu tupe historia yake kidogo
Acha kukufuruTakbiiirrrrr
Yuko sawa kabisaMbona bibi faiza kasema albadil ni uchawi hata kweny quran hakuna kitu kama hicho
Huo ni uchaw sio uislamWasiongee sana isije ikachachukaa...kesho tunapiga kisomo mpaka minyoo kama ilishiriki walahii inakaukaa..
Ukweli kwamba watu wanawalalamikia kila siku halafu kumbe kuna solution dogo tu unawasomea wanapatwa na daflao, unaonyesha kwamba hata watu hawaiamini hii Al-Badr,inatumika kama njia ya kuunganisha watu tu,lakini kuiamini kama dua inayoweza kufanya kazi hakupo.Mkuu samahani kwani wale jamaa waliokuwa wanasaini mmikataba ya hovyo na wenyewe walishawahi kusomewa Ahlul-badr ikagoma
Wachawi wanaposoma talasimu zao huwadanganya watu kwa kuanza kusoma baadhi ya aya au sura ndogo ndogo za Qur-aan na kulitajataja jina la Nabii SULAYMAAN na utawasikia daima wanamnasibisha Mtume huyu ('Alayhis Salaam) na kufru zao hizo ili wajinga wanaowafuata wadhani kwamba hayo yamo katika dini.
Uchawi haujaanza zama za Nabii Sulaymaan kama wachawi wanavyozuwa na kumsingizia Nabii Huyu wa Allaah, bali ulikuwepo kabla yake kwa miaka elfu nyingi.
Uchawi ulikuwepo tokea zama za Nabii Saleh ('Alayhis Salaam) aliyekuja kabla ya Nabii Sulaymaan kwa miaka elfu nyingi.
Allaah Anasema:
"Wakasema: (kumuambia Nabii Swaalih); "Hakika wewe ni miongoni mwa waliorogwa."
Ash-Shu'araa - 153
Sio kila anayetaja Jina la bwana atauona ufalme wa mbinguni..........................Wanaouchafua uislam au wanatekeleza stahiki ya dini, ni
nani kama sio masheh wanasoma izo albadil au kusema takbir, ...nyie wenyew ndo mnafanya halafu mnasema vitu gani,
Dini zote ni shirki.Mi kiukweli naona huu ni mchezo wa kumwaga sukari baharini..bora kuna muislam kacomment albadiri ni shirki na sio uislam....hili ni dua la kuku tu
Sent using Jamii Forums mobile app