Usiongee kitu ambacho hukijui.Waislamu kwa visasi utazani mnaenda mbinguni wote,
.aya ngoja tuyaone kesho ayo,
Huu ni ushirikina sio uislamMkuu kwa maelezo yako ni dhambi kuisoma hiyo Ahlul-badr
Hii ni shirki sio uislamIli ifanye kazi anaesoma anapaswa awe (msafi) kupindukia! Na anaesomewa (mtuhumiwa) awe muovu/kosa la kupindukia! Sasaaa,,,dah ,,niishie hapo tu.
Usiongee kitu ambacho hukijui.
Ayo madhara ndo tunayataka sisi yawe makubwa sanaaa
Unyenyekevu wa hali ya juu..Ikhlas...
Maana yake!??
Funguka fungukaaaa wacha uoga minasema waisome naona vigezo vinatosha!!!!?Ili ifanye kazi anaesoma anapaswa awe (msafi) kupindukia! Na anaesomewa (mtuhumiwa) awe muovu/kosa la kupindukia! Sasaaa,,,dah ,,niishie hapo tu.
Nitumie pm mimi tuNahisi kuandika kitu lkn Nafsi inanisuta, nahisi nitachafua ukulasa bule.
![]()
![]()
![]()
![]()
Sisi tunatumia uchawi kwasababu hatuna bunduki
Na Ndio maana nikamwambia usitamke kitu usichokijua kuna Kanisa huko ulaya wameruhusu mashoga kwa kauli Yako inathibitisha ushoga ruksa makanisa yotee sio kila anachokitamka muislam Ndio uislam ulivyo Soma vitabu utaujua uislam ni dini ya Haki Hao wanaoleta shida sio waislam wanataka kuchaafua uislam.Sijui nn sasa we ndo ujui Mungu wetu ni mmoja na alisema Samehe saba mara sabini,.. Nyie na matakbir yenu mnaleta shida dunia nzima sio kila jambo unatakiwa ulipize kwa damu, vingine vya kukaa mezani yanaisha,mnajiita chinja chinja
Huu ni ushirikina sio uislam
Ni aina fulani ya kujifariji pia.Huyo dua km kweli inaweza kufanya kazi kwa matukio km haya nchi za ulaya ambazo zinaongoza kumwaga damu tena damu ya watu wasio na hatia katika nchi za kiarabu basi marais na mawaziri wote wangekuwa washakufa wote..nashawishika sans kuamini hizi dini zetu uislam na ukristo zimechakachuliwa sana..long time ago bado nafanya research
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaouchafua uislam au wanatekeleza stahiki ya dini, niNa Ndio maana nikamwambia usitamke kitu usichokijua kuna Kanisa huko ulaya wameruhusu mashoga kwa kauli Yako inathibitisha ushoga ruksa makanisa yotee sio kila anachokitamka muislam Ndio uislam ulivyo Soma vitabu utaujua uislam ni dini ya Haki Hao wanaoleta shida sio waislam wanataka kuchaafua uislam.