Mkubwa Jalala
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 112
- 23
kiongozi hapo maana yake ni kwamba hiyo ndoa imetamalaki kwa mpango wa kando
kuluja ndio kufanya nini??
kuluja ndio kufanya nini??
Kwani wewe sio gret thinker? Umeshindwa kujua kuwa mleta mada ametumia simu ? Katika simu J,K na L zipo katika kitufe cha namba tano kwa hiyo unaweza kujua nini alikusudia hapo.[/QUOTE
You are more than great thinker. Sikutegemea kama kuna mtu atakae gundua hilo.