Jielimishe mwenyewe, waelimishe wengine. #Agenda ya Kifo. Bill Gates sio mwenzetu Chanjo ya COVID-19 ni Mwanzo tu

Bill Gates ni axis of evil. Ni vigumu kumtenganisha huyu mtu na shetani.

Hukuchekea mchana huku usiku akikuua.

Afrika iwe macho!!!
 
Sasa, mtu yeyote ambaye atakuwa mzito kuanza kung'amua 'ukweli' kuhusiana na janga hili la 'corona virus' na uwezekano wa siasa za nyuma za ulimwengu basi hakuna msaada zaidi kwake kama baada kufuatilia video hii hapa chini hata kaa kutafakari na kijiongeza...

Kila mtu ahakikishe video hii ilitundikwa mtandaoni miaka kumi iliyopita na katika dakika ya 15 anazungumza hichi hasa kinachoendelea duniani...



Kuna mengi humo ningependa kukazia ukweli wake kwa kuleta habari za matukio ya kushabihisha lakini ngoja tuone humu wadau wako macho kiasi gani...

Halafu wale wote wa kudai 'conspirancy theories' hivi -- 'nadharia njama' vile -- mjue hata ile makala ya 'corona virus' na '5G' ; kuna jambo fulani lakumezea tu kwa sababu wengi labda hawafahamu kuwa vuguvugu la 'nadharia njama' mara huchipuka miongoni mwa 'wajuaji'; lakini 'tope na maji' huwa ni visanga miongoni mwa wengi katika kuchanganya ama kusokota taarifa bila kuwa na mhakikishiaji... Wangapi humu wanajua ama kupata kusikia 'chanjo' (ama 'virusi') zinazoweza 'kuamshwa' kwa mawimbi ya radio kama vile masafa ya 5G? Wangapi hujisomea mbali kuzidi visomo vya darasani ama utaalam wa idarani ili kupata kutambua mawezekano ya sayansi ama utaalam wa silaha zisizokuwa za kawaida?

Basi tufumbue macho yetu na tufungue akili zetu...
 
Mkuuu umemaliza..na hii ndo nafasi waliyonayo ya kupiga chapa ya mnyama...mwanzo itakua Kama option..ila baadae itakua lazima....hivo nguvu ya dola itatumika kukubali chapa ya mnyama ...hapa wahuni ambao tulikua watenda dhambi ndo nafasi pekee ya kuuona uzima wa milele kupitia damu zetu tutakaokataa kupigwa chapa ya mnyama..maana watakatifu wa bwana wataakuwa wameshanyakuliwa
 
Habarini wakuu wa jukwaa hili.
Leo nimeona ni vema tushirikishane machache kuhusu COVID-19 lakini hasa kuihusu chanjo na maandalizi ya kumtawala binadamu.

Hivi karibuni kwenye mahojiano na Reddit Bill Gates alisema kwamba “digital certificates” zitatumika kubaini ni nani aliyepokea chanjo ya COVID-19 na nani hajapata chanjo hiyo. Pia vyeti hivi vitatumika kubaini ni nani anayeweza kufanya biashara, kwenda shule, kwenda kazini, kusafiri, kushiriki shughuli za kijamii au la. Mpango huu unasaidiwa tayari na shirika kubwa linaloitwa ID2020.

View attachment 1414129
Bill Gate, Co-founder of Microsoft Corporation.

Kwa miaka mingi, Bill Gates amekuwa mstari wa mbele katika kufanya tafiti mbalimbali kuhusu magojwa ya milipuko yanayo ukabili ulimwengu na kuhamasisha kampeni za chanjo kwa watu wengi ili kujikinga na magonjwa hayo. Katika muongo mmoja uliopita, Gates alirekodiwa mara kadhaa akisema kwamba "dunia haiko tayari kwa janga na kama itatokea basi njia sahihi ya kukabiliana na janga hilo ni kuwa na mfumo mmoja wa identification kwa kila mwanadamu."

Mnamo Oktoba 2019 (miezi michache tu kabla ya mshtuko huu wa COVID-19). Bill and Melinda Gates Foundation kwa kushirikiana na Jukwaa la Uchumi Duniani (Word Economic Forum) walidhamini hafla iliyo kwenda kwa jina la “Event 201”, ghafla hiyo ili dumu kwa masaa 3 na nusu kujadili juu ya "Janga la Dunia". Haya yalifanyika kabla ya ujio wa corona. Lakini mbaya zaidi Event 201 ilikua na lengo la kujadili novel coronavirus ambayo ingeua mamilioni ya watu Duniani. Kama wiki nane baadaye, novel coronavirus halisi ikatokea nchini China! Hali hii ikasabisha taaruki katika mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali Duniani na watu wengi kujiuliza ikiwa "Event 201" ilitabiri kuenea/ujio wa COVID-19 au ilikua mbinu tu kuwahadaa watu wakati kila kitu kilikua kimekwisha pangwa kuihusu COVID-19 na China ilikua ni sehemu ya kuachilia kwa kuzingatia life style ya ulaji ya watu wa China?

Ili kujibu maswali haya na sintofahamu hizi, wahusika au watu walioshiriki katika Event 201wakatuma taarifa kwenye wavuti yao ya "Event 201" kukanusha kwamba, katika mjadala wao, kamwe hawakujadili kuhusu COVID-19 halisi inayo itesa dunia kwa sasa.

View attachment 1414142
Event 201 Discussions. New York, October 18th, 2019.

Taarifa hiyo iliyopewa heading ya "Taarifa juu ya nCoV na mjadala wetu kuhusu Majanga ya Dunia" ilisema kwamba, "Mnamo Oktoba 2019, Kituo cha Johns Hopkins cha Usalama wa Afya kilishiriki zoezi la kujadili majanga ya magonjwa lililoitwa Event 201 kwa kushirikiana na taasisi nyingine ambazo ni , Jukwaa la Uchumi Duniani na Bill & Melinda Gates Foundation. Hivi majuzi, Kituo cha Usalama cha Afya kimepokea maswali juu ya kama zoezi letu hilo la janga lilitabiri kutokea kwa mlipuko wa Coronavirus mpya iliyotokea nchini China. Ili kuwa wazi, Kituo cha Usalama wa Afya na washirika hawakufanya utabiri wakati wa mjadala. Hata hivyo, ili kuboresha mjadala na kuweza kuijadili noval coronavirus, tulifanya noval coronavirus ya uongo (sample), lakini tukasema wazi kwamba haikuwa utabiri wa coronavirus yoyote. Badala yake, zoezi hilo lililenga kuonyesha utayari na changamoto za kukabiliana na ambazo zinaweza kutokea katika janga kali sana kama la noval coronavirus ikiwa litatokea Duniani. Sasa hiyo haimaanishi kwamba tulitabiri ujio wa COVID-19 na kwamba mlipuko wa nCoV-2019 utaua watu milioni 65 kwakua tulicho kuwa tuna fanya hakifanani na nCoV-2019 ya sasa inayo itesa Dunia."

Mnamo Machi 13,2020, ikiwa ni siku moja baada ya COVID-19 kuanza kuuzima ulimwengu wote wa Magharibi, Bill Gates aliamua kustaafu kutoka katika bodi ya wakurugenzi ya Microsoft ili "kutoa muda zaidi kwa vipaumbele vya uhisani ikiwa ni pamoja na afya ya ulimwengu, maendeleo, elimu, na mabadiliko ya hali ya hewa". Wakati janga hilo likienea kote ulimwenguni, Gates akawa mtu mwenye mamlaka juu ya shida ya janga hilo, yaani Gates akawa kama msemaji wa Dunia. Alionekana kwenye vyombo vya habari kote ulimwenguni kuelezea maoni na mapendekezo yake juu ya COVID-19.

Mnamo Machi 18, 2020, Bill Gates alishiriki katika mjadali wa AMA uliokwenda kwa jina la "Niulize Chochote" . Hapo Bill Gates alijibu maswali mbalimbali ikiwa ni pamoja na yale yaliyo husu COVID-19. Katika jibu lake moja, Gates alirejelea idea yake ya ulimwengu kuwa na Cheti cha kidigitali/ digital certificate kwa wale watakao pokea chanjo ya COVID-19" ili kufuatilia na kujua ni nani na nani aliyepata chanjo na anaye stahili kufanya social interactions.

Mtumiaji mmoja wa Reddit aliuliza swali: Je! Ni mabadiliko gani ambayo tutalazimika kufanya katika nyanja ya biashara ili kudumisha uchumi wetu wakati dunia (watu) wakiendelea kufanya social dustancing? Bill Gates alijibu na kusema: "Kwa sasa ni vigumu kujua jinsi gani biashara zitaendelea kufanyika. Bado hali ni tete katika usambazaji wa chakula na mifumo ya afya. Bado tunahitaji maji, umeme na mtandao imara ili kukabiliana na hili. Mnyoro wa ugavi wa mahitaji muhimu ni muhimu zaidi kuutunza na kuimarishwa. Kwa sasa, nchi bado zina angalia na kuamua ni shughuli gani ya msingi kuicha iendelee ku operate. Lakini katika kukabilia na na hili, mwishowe "tutakuwa na vyeti vya kiditali/ Digital Certficate kuonesha ni nani aliyepona au kupimwa COVID-19 hivi karibuni au wakati tunayo chanjo ni nani ambaye ameipokea!." Kwa tafsiri ya kawaida ni kwamba, kila atakaye pokea chanjo ya COVID-19 ndio pekee atakaye kuwa halali kushiriki shughuli mbalimbali katika jamii ikiwa ni pamoja na kusafiri, biashara, shule n.k.

Majibu hayo ya Bwana Bill Gates yalipokea sifa nyingi katika mitandao ya kijamii lakini kuna baadhi ya watu walitia shaka hasa katika suala la watu kuwa identified kwa certificate kwamba wamepata chanjo ya COVID-19 au la. Watu wengi wanafananisha jambo hili la kuwa identified kwa certificate kama lile lililo elezwa katika Biblia Takatifu kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana kuhusu ALAMA YA MNYAMA, au Mark of The Beast. Ufunuo 13:17-18 inasema kwamba " Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa, atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au kwenye kipaji chake cha uso, 17ili kwamba mtu ye yote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo mnyama au tarakimu za jina lake." Picha ya chini ni maelezo ya Alama ya Mnyama kwa kiingereza na baadhi ya michango ya watu katika mitandao kuhusu kauli ya Bwana Gates.

View attachment 1414927

Inaaminika kwamba, wazo la “digital certificate” kwa ajili ya kuhifadhi taarifa mbalimbali za matibabu ya watu ulimwenguni pamoja na chanjo ya COVID-19 iliyopokelewa, kwa picha kubwa hayakua maoni tu au mapendekezo ya Bill Gate bali ni sehemu ya mradi mkubwa ambao umetokana na kikundi chenye nguvu kinachoitwa ID2020 ambacho huungwa mkono na Umoja wa Mataifa, Rockefeller Foundation Bill Gates 'Microsoft. Hii inaaminika ni maandalizi kwa ajili ya utekelezaji wa Alama ya Mnyama kama ilivyo elezwa kwenye Biblia katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana na maandalizi haya yalianza zamani sana ili kuifanya Dunia kuwa tayari kwa NWO.

ID2020
View attachment 1414943
ID2020 Summit, May 2016.

Kwa kifupi, kulingana na ID2020, chanjo ya COVID-19 ni nafasi nzuri ya kuanzisha Kitambulisho ambacho kitahifadhi historia ya matibabu ya kila mtu. Kitambulisho hiki pia would also be used to grant access to basic rights and services. ID2020 tayari imekwisha kufanya majaribiao ya kuanzishwa kwa digital certficate huko Bangladesh. Mnamo Agosti 2019, ID2020 ilichapisha nakala ya "Ombi la habari" ikisema: A2i na washirika wake Gavi na ID2020 wamejitolea kufanya utafiti wa pamoja na kutekeleza upatikanaji wa kitambulisho cha kipekee cha watoto wachanga kupitia ujasusi wa michakato ya chanjo nchini Bangladesh.

Programu hiyo itawapa watoto wachanga na watoto wengine kitambulisho cha kidigitali kinachoweza kuunganishwa biometrically na ID yake. Haya yatafanyika katika hatua ya usajili wa kuzaliwa wa mtoto au wakati mtoto atakapo patiwa chanjo na wakati huo huo kitambulisho hicho kitasaidia malengo makuu matatu: 1. Kuendesha maboresho katika CRVS (Takwimu za Idadi ya Watu katika Jamii). 2. Kusaidia maboresho katika mchakato wa chanjo na usawa. 3. Mwishowe, kusaidia upatikanaji wa haki, huduma na mahitaji mengine yote katika maisha yote amabyo mtu ataishi.

Wakati miradi hii ikiwa inaendelea kufanya kazi chini ya support kubwa ya Bill Gates, Rockefeller etc, Bill Gates amekuwa akifadhili tafiti nyingine mbalimbali juu ya aina tofauti tofauti za chanjo za binadamu. Utafiti unaotia shaka zaidi ukiachana na hili la chanjo ya COVID-19 ni ulipewa jina la "The quantum dot tattoo."

Quantum Dot Tattoo
Mnamo Desemba 2019, kikundi cha watafiti kutoka MIT kilichapisha uchunguzi katika jarida la "Tiba ya Utafsiri wa Sayansi " juu ya utumiaji wa tatoo za dotulamu kujua ni watu gani waliopokea chanjo na ni akina nani hawajapokea chanjo. Hizi ni tatoo (micro chip) zitakazo wekwa katika miili ya binadamu na itakua rahisi kuwatawala binadamu wote na kuwaongoza vile kina Bill watakavyo. Haya yote yatafanyika kipindi ambacho tumaini la watu litakuwa nje ya Mungu bali katika Sayansi na Technolojia. Na sasa ndio wakati sahihi. Makanisa yamefungwa, Misikiti imefungwa, no more thigs of God but only hope imekua Sayansi.

View attachment 1414986
An image describing the application of a quantum dot tattoo on the skin through vaccination from Science Translational Medicine, December 2019.

Hitimisho.
Wakati akijibu swali juu ya jinsi gani biashara zitafanyika katika zama hizi, Bill Gates alijibu kwamba "vyeti vya kidigitali" vitatumika kubaini ni nani aliye na COVID-19, ni nani aliyepona COVID-19, ni nani ambaye hivi karibuni alipimwa na ni nani aliyepokea chanjo hiyo. Jibu hili fupi na lisilotarajiwa lilifungua ukurasa mwingine wa kile few elites wanatarajia kufanya siku za usoni: Kampeni ya chanjo ya kuzuia au kutokomeza COVID-19 itakuwa fursa nzuri ya kuanzisha kitambulisho kimoja duniania (Mark of the beast). Na hii ndio itakayo kuwa njia pekee ya kila mmoja duniani kua access huduma mbalimbali.

Ni ukweli kwamba miradi hii yote ya Bill Gate na washirika wake unatukumbusha kifungu katika Kitabu cha Ufunuo kihusucho alama ya Mnyama ambayo hupokelewa au kuwekwa katika "mkono wa kulia au paji la uso" na ambayo niyo tu itahitajika ili mtu aweze "kununua au kuuza". Hivyo utangulizi wa mifumo kama hii ya akina Bill Gates ni jambo muhimu sana kwako na kwa wote wenye nia ya kutekeleza NWO.

Haya yote yanafanywa ili kumuandaa mwanadamu kuwa tayari kwa NWO (New World Order). Bill Gates na wafadhili wake wanaona huu ndio wakati sahihi wa kuanza kufanya michakato yao ya kuitawala Dunia kwa kuitiisha na kuwafanya binadamu watakavyo wao. Huu ni wakati ambao ni rahisi zaidi watu kufanya maamuzi yanayo endeshwa kwa hofu, panic na kukata tamaa. Ni busara watu wakajiepusha na haya ili kubaki salama. Huu ni wakati sahihi pia wa kila mmoja kujitafakari na kuamua kushikamana vema na Mungu wake.

Siku njema.
Nenda kamchane live sasa usitwambie sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
David Icke the writer of conspiracies has no known medical or scientific qualifications but has nonetheless pivoted from third-division goalkeeping to broadcasting to writing his own brand of New Age conspiracism.
Ahsante sana.

Uzi huu umulikie maudhui ya uzi huu:

Teknolojia ya 5G na Chanzo cha Covid-19: Nadharia Njama (Conspiracy Theory) yenye maswali mengi. - JamiiForums

Sasa hivi, gumzo linatawala 'nadharia njama' -- inakuwaje -- kweli ama uongo wa watu?

Jibu ni rahisi; akili kumkichwa... Sikiliza yote, jielimishe zaidi -- jitahidi kupembua na endelea kujifunza zaidi...

David Icke, Muingereza ambaye kwa miaka mingi amekuwa ni msemaji juu ya agenda za ndani wa kikundi cha watu wachache wenye kutafuta kuitawala dunia kiuchumi(kupitia sarafu na hazina halisi ama batili), dini, na mifumo; amekuwa akionekana chizi na mbwabwaji--lakini mengi ambayo amekuwa akiyasema tumeona sehemu ya ushahidi wa mambo. Si kwamba David Icke amekuwa sahihi 100% lakini ni nani atabisha kuwa yeye amekuwa ni 'mfalme wa nadharia za njama'?

Haya uliyoyadadavua amepata kuyasimulia kwenye vingi vitabu vyake...

Sasa, mbona kuna mengine ambayo nayo hayajapasuka kwenye umma mkubwa kuhusu 'uwepo wa watu mijusi' hapa duniani -- wenye agenda isiyowazi juu ya kusudi lao juu ya stawi ya wanadamu? Uchokozi wake, David Icke, katika kitabu cha ;'The Reptilian Agenda' kumetuletea utoboaji siri wa wa watu kama William Tompkins... Watu wa ndani kupata kufanya kazi na viumbe watu wanashirikiana na watu wa taasisi na mashirika kwa agenda zinazohitaji akili kubaini ukweli na hatma zake...

Watu wengi, hasa sisi umma wa kiswahili labda tunakosa 'ukwaju' na 'ubuyu' wa 'nadharia njama' kwa sababu bado wengi miongoni mwetu hatufanyi bidii kutafsiri makala mbalimbali kutokea kwenye vyanzo vya habari vya kujitegemea...

NI wangapi humu wamepata kusikia habari za viumbe watu ambao wamepata kuwa na maarifa ya juu sana na tekinolojia kiasi cha kuharibu sayari zao na kuvamia sayari nyingine? Je, ni viumbe wa namna hii huwa na maarifa na mbinu zipi na kuuingilia maisha na ekolojia ya sayari wanazolenga kujipenyeza na kuzitwaa? Hivi humu, kuna wanaojiuliza kwa nini Marekani, hivi karibuni katika utawala huu wa Donald Trump, imeanzisha hasa 'Space Force'? Ili kujihami na nini hasa? Kwa nini Sehemu kubwa ya Marekani anga hupuliziwa na vumbi na moshi maarfu kama 'chemitrails'?

Watu wanafuatisha siasa na uchumi wa dunia kwa kadri wanavyotawaliwa na vyombo vya habari na mifumo ya nje nje lakini kiukweli tunaishi katika dunia ambayo hatma yake hadi hivi ninavyoandika iko kati ya mvutano wa mwanadamu na harakati tawala siasa za nje ya dunia... Vipi ikiwa tumeingiliwa kupitia udhaifu wetu kupendelea mivutano, matabaka, siasa za wachache na tekinolojia? Kwa nini tunaona vinara fulani wanakuwa mstari wa mbele kuamini 'tekinolojia' na 'uhandisi wa kijeni' ni suluhu la wingi wa wanadamu -- na kwa upande mwingine wanaona na kudai uwingi wa wanadamu ni tatizo?





David Icke vs 5G: a poster boy for coronavirus misinformation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... And what does this suppose to mean?

FYI David Icke is the man in the very light side of things -- just an informer and not 'insider' to many things that he presents to public... And i have known the man for 20 years now... How old are you by the way?[keep it to yourself...]

Today, there are many things that are extended from the rammifications of his books and presentations -- corroborated my many groups that are behind the disclosure movements and independent whistleblowers/witness...

You should at least suspend all your pressumptive ideas / prejudice over what you deem to be purported conspirancy theories -- again, forget about the messenger and deal with the message; you can read, discern and learn, can't you? Let us put it like this--you are as a person, could be at entry level position in regard to exploring alternative ideas... And your disposition is denial--well, i ask you to give it a try -- Explore more... David Icke, has never been a 'perfect guy' in alternative search for truth and information nevertheless you need to explore his work and counsels...

There are more things to learn and discover over the state of affairs and shadow governance--your state of denial is exactly what makes it to persist and thrive... It is here.

Open your eyes.
 
Back
Top Bottom