fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
Atetea kugushiwa kwa Saini za Nyerere na Msekwa, Wanahabari wenzake na wananchi wamshangaa uwezo wake na uelewa wake wa mambo, Edwin amvaa uso kwa uso, ajibu kwa muita Edwin ni bwana mdogo, Je Moses ndo yule au kila mtanzania ananunulika???
Moses ameshabikia vitu vya hovyo kibao ikiwemo, waandishi kunyimwa habari eti baada ya kamati kujadili ndo wanakamati wawasiimue waandishi. Abeid apinga kabisa suala hilo na kusema ameathirika ktk utendaji, amedai wamechujwa kwa kina, kamati na.6 wasira amekaa kimya sku 3 hiyo inakuwaje?? ampongeza kilango kwa kujitahidi kutoa habari mapema
Nawasilisha
Moses ameshabikia vitu vya hovyo kibao ikiwemo, waandishi kunyimwa habari eti baada ya kamati kujadili ndo wanakamati wawasiimue waandishi. Abeid apinga kabisa suala hilo na kusema ameathirika ktk utendaji, amedai wamechujwa kwa kina, kamati na.6 wasira amekaa kimya sku 3 hiyo inakuwaje?? ampongeza kilango kwa kujitahidi kutoa habari mapema
Nawasilisha