mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
Mimi lawama namtupia Dotto Bulendu kwa kumwalika huyu "kihiyo" aitwaye Moses. Huyu siyo mchambuzi na hawezi kuwa. Hajui anachoongea, zaidi ni hasira hasira tu za kipuuzi akiulizwa swali gumu. Tafadhali, usimwalike tena kwenye kipindi. Kama huna watu wengine bora uchambuzi uufanye we mwenyewe au kipindi kiahirishwe.
mkuu asante mkuu kuliona hilo halina data kabisa kwa mfano lilikuwa linashadadia mwana halisi----------- ifungiwe kipindi cha huko nyuma.nyambafu kabisa hili