Jicho letu ndani ya habari-STAR TV

Jicho letu ndani ya habari-STAR TV

mcubic

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
10,310
Reaction score
6,546
Wadau muda huu star tv kuna kipindi cha jicho letu ndani ya habari....wanajadili mambo mengi yalojitokeza kwenye vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali ikiwamo suala la ushoga.
 
Kwamba Prof. kawaingiza wenzake mkenge wa kuabudia ushoga!!?
 
yaani huwa nacheka kweli nikisikia neno hili "maliberali"
 
Lakini tuongee ukweli, kwani ni uongo cuf hawako kwenye mlengo wa kiliberali, maana waling'aka bungeni, kubalini yaishe mnakataa wakati ujumbe umefika..daah...!wenje... Rahaaaaaa......!
 
sasa kuna faida gani kutumia muda mwingi kupinga ushoga wakati mashoga wenyewe wako kimya. yote kwa yote ushoga ni zaidi ya laana.
 
Back
Top Bottom