Sio rahisi kihivyo kuacha ukishaonja utamu wa jichoNimejifunza sitarudia tena....eeeh mwenyez Mungu nakiri sitarudia tens Nisamehe
Nashukuruu sijawahi kuliwa jichoooo
Wanakua wanachungulia kuzimu kwa kutumia jicho la 4 MkuuMkuu hivi kwanini unakuta picha nyingi za wadada ùko insta wakipiga picha wanakuwà kama manajibinua binua makalio?
Acha kabisa huo mchezo!Nimejifunza sitarudia tena....eeeh mwenyez Mungu nakiri sitarudia tens Nisamehe
Inahitaji Nguvu ya ziada kuchomoka Kwenye register ya kuzimu.Sio rahisi kihivyo kuacha ukishaonja utamu wa jicho
[emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji120] shida hiyo kitu ndio gumzo hivyo ni ngumu kuwanasua hukoWatu naona mmehamia kwenye mchezo wa Sodoma.
Mmesahau Dhima halisi ya mada kuwa.
Shetani na washirika wake yaani wanga na washirikina kumbe huona kwa kutumia hilo jicho la Nne.
Hili ndilo somo lililoko mezani.
Huko Sodoma kuliisha fahamika kitambo.
Hakika mtoa mada uko juu kileleni.
Ati nini...![emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji120] shida hiyo kitu ndio gumzo hivyo ni ngumu kuwanasua huko
Tatizo lilikuwa nini. Itapendeza iwapo utaianzishia uzi ili kuwaelimisha Waungwana na Mabaradhuli pia.Jicho la 4 limevunja ndoa ya rafiki yangu.
Yani unaona wazi wazi kabisa jamii inapoelekea.... Na tusidanganyane kuidhibiti hii hali sio kitu rahisi hata kidogoLoHAti nini...!
Yaani hadi wanashindwa kutafakari mada husika kwa kina na kuilewa.
Yaani wako kwa Mungu kidogo na kwa Shetani kidogo.
Hawa watu wamesha changanikiwa na huo mchezo.
Ni Hatari
Nashukuruu sijawahi kuliwa jichoooo