Waache chuki, watu wanatakiwa wawe wakweli?Kwako mleta mada, nafikiri umeona mwenyewe jinsi watu wanavyoendeshwa na chuki ambayo uliizuia, kuna watu wawili wote wa mbeya mjini, mmoja ametoa 100% mwingine ametoa 0.0001% kwa mbunge wao,
Mimi niko Msalala, Mbunge wa huku Nampa 0.0000%, asante kwa mada yako nzuri
Mulogolo?Wa huku yeye katoa gari lake kwa ajili ya misiba. Yeye anajali tu biashara zake, eneo halina barabara nzuri,mitaa mingi hakuna maji. 30%
😂😂😂😂😁😁😁😁......tehteehh View attachment 1074928
Kwa asilimia ngapi Mkuu, maana kuunga tu hakutoshi yaweza kuwa umeunga kwa 0•00001%Naunga mkono hoja...
Kwanza hata simjui mkuu, sasa nitatoaje uungwaji mkono kwa muwakikishi nisie mjua?Kwa asilimia ngapi Mkuu, maana kuunga tu hakutoshi yaweza kuwa umeunga kwa 0•00001%
HiyO HOJA uliyo unga mkono Ni ipi MkuuKwanza hata simjui mkuu, sasa nitatoaje uungwaji mkono kwa muwakikishi nisie mjua?
Itakuwa yeye ndo boyamaana mmmh,ila tumeshajianda kupiga chiniInamaana jamaa anawakilisha maboya?
Hii ni fikirishi, na hii kazi halmashauri wanajitosheleza. Hawa jamaa wanatumalizia pesa za maendeleo bure.Mimi nafikiri hatuna tena sababu ya kuwa na muwakilishi (mbunge) mmoja. Nafikiri wawe wa muda na kwa ajili ya sababu maalumu na kila wakati wawe wanachaguliwa hiyo shughuli ya kiuwakilishi ikiisha na uwakilishi wao unaisha. Hatuwezi kuwa na wawakilishi ambao ni jack of all trades. Ikiwa ni mambo ya bajeti aende akatuwakilishe muhasibu, ikiwa ni mambo ya sheria aende akatuwakilishe mwanasheria, ikiwa ni mambo ya kawaida waende hao wenye elimu ya darasa la saba. Nafikiri tuache kukariri, wachaguliwe kwa sababu fulani na sababu hiyo ikiisha uwakilishi wao uishe hapo hapo. Mathalani hakuna vikao vya bunge hao wabunge wanawawakilisha wananchi kwenye kitu gani? labda huko mnadani kwenda kula nyama
Na hiyo asilimia unampa kwa sababu unavyomwona amekalia kiti kile...?Mbunge wangu hapendi usumbufu.Ukimsumbua tu,anakutwisha rungu la utosi mpaka uzimie.Hapendi udhaifu.Nampa 7.6% kama Bavaria.
Abood nini?Wa huku yeye katoa gari lake kwa ajili ya misiba. Yeye anajali tu biashara zake, eneo halina barabara nzuri,mitaa mingi hakuna maji. 30%