Njoo kule kuna kitu unisaidie.Chato 100%
Kuleee au kule?Njoo kule kuna kitu unisaidie.
Hahahahahahaha yule hata kakake alikua mbunge wa hovyo kule kilwa wakamtoa. ...nilijua Dogo atakua timamu kumbe mja asili haachi asiliMangungu -mbagala
Akirudi bungeni hii nchi itakuwa ya kisengerema
Kuleeeee achana na kule.Kuleee au kule?
Naja lakini
Mkuu nilikuwa natania.Siwezi kuwa na mbunge kitunguu swaumu kama yule.Ni laana.Awaongoze wala viwavi wenzie tu.Kwanini msimwadhibu na ninyi, 2020?
Hapana usimshawishi aitoe maana akiitoa tutamsahau humunimekuita boya kabisa in advance kama ukiwaza au kuitoa hiyo avatar kazi kwako.
nimekuita boya kabisa in advance kama ukiwaza au kuitoa hiyo avatar kazi kwako.
Absolutely kama ile ya balozi wa Tanzania Marekani mkuu?Mbeya city stand up-Absolutely 100%
there ur Ushimen
Umesema kweli bro, lkn wabunge ndio watunga Sheria, huku wengi wao hawana taaluma ya Sheria kabisa, unadhani wahusika watakubali? Si ulimwona wa arumeru mashariki alitoa machozi akililia Jimbo lake?Mimi nafikiri hatuna tena sababu ya kuwa na muwakilishi (mbunge) mmoja. Nafikiri wawe wa muda na kwa ajili ya sababu maalumu na kila wakati wawe wanachaguliwa hiyo shughuli ya kiuwakilishi ikiisha na uwakilishi wao unaisha. Hatuwezi kuwa na wawakilishi ambao ni jack of all trades. Ikiwa ni mambo ya bajeti aende akatuwakilishe muhasibu, ikiwa ni mambo ya sheria aende akatuwakilishe mwanasheria, ikiwa ni mambo ya kawaida waende hao wenye elimu ya darasa la saba. Nafikiri tuache kukariri, wachaguliwe kwa sababu fulani na sababu hiyo ikiisha uwakilishi wao uishe hapo hapo. Mathalani hakuna vikao vya bunge hao wabunge wanawawakilisha wananchi kwenye kitu gani? labda huko mnadani kwenda kula nyama