cha1509
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 258
- 402
- Thread starter
- #41
Waache chuki, watu wanatakiwa wawe wakweli?Kwako mleta mada, nafikiri umeona mwenyewe jinsi watu wanavyoendeshwa na chuki ambayo uliizuia, kuna watu wawili wote wa mbeya mjini, mmoja ametoa 100% mwingine ametoa 0.0001% kwa mbunge wao,
Mimi niko Msalala, Mbunge wa huku Nampa 0.0000%, asante kwa mada yako nzuri