Jibu swali hili pasipo chuki, fitna, uonevu ama upendeleo, Unampa asilimia ngapi Mbunge wako?

Kwako mleta mada, nafikiri umeona mwenyewe jinsi watu wanavyoendeshwa na chuki ambayo uliizuia, kuna watu wawili wote wa mbeya mjini, mmoja ametoa 100% mwingine ametoa 0.0001% kwa mbunge wao,
Mimi niko Msalala, Mbunge wa huku Nampa 0.0000%, asante kwa mada yako nzuri
Waache chuki, watu wanatakiwa wawe wakweli?
 
Mi natoa athmini ya wabunge hawa ambapo ninashi MBUNGE wa Dodoma mjini PETER ANTONY MAVUNDE anatimiza wajibu wake kwa 99.5%
ila wa huku pwapwapwa mmh Kama hayupo kabisaaaaaaaaaa
 
Mimi nafikiri hatuna tena sababu ya kuwa na muwakilishi (mbunge) mmoja. Nafikiri wawe wa muda na kwa ajili ya sababu maalumu na kila wakati wawe wanachaguliwa hiyo shughuli ya kiuwakilishi ikiisha na uwakilishi wao unaisha. Hatuwezi kuwa na wawakilishi ambao ni jack of all trades. Ikiwa ni mambo ya bajeti aende akatuwakilishe muhasibu, ikiwa ni mambo ya sheria aende akatuwakilishe mwanasheria, ikiwa ni mambo ya kawaida waende hao wenye elimu ya darasa la saba. Nafikiri tuache kukariri, wachaguliwe kwa sababu fulani na sababu hiyo ikiisha uwakilishi wao uishe hapo hapo. Mathalani hakuna vikao vya bunge hao wabunge wanawawakilisha wananchi kwenye kitu gani? labda huko mnadani kwenda kula nyama
Hii ni fikirishi, na hii kazi halmashauri wanajitosheleza. Hawa jamaa wanatumalizia pesa za maendeleo bure.
 
Awamu hii mbunge hana influence yoyote kwa maendeleo ya wananchi
Labda uulize kuhusu mkuu wa wilaya au mkoa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom