mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Nisaidieni kunipatia majibu ya suali hili:
Mtanzania mmoja yupo London akawaagiza ndugu zake wamuolee mke, Wakamuolea (kufanya hivi katika dini ya Kiislamu inaruhusika lakini huwezi kumuingilia mwanamke, sina hakika kuhusu dini zingine). Jamaa akaja Tanzania kukutana na mkewe. Mara tu baada ya kushuka Air Port Tanzania akakutana na msichana Mzuri akashawishika akamtongoza wakaenda guest na wakafanya tendo la ndoa! Alipoenda nyumbani kukutana na mkewe akamkuta yule msichana ndo mke mwenyewe!
Je huyo Jamaa alizini au alilala na mkewe? Nini hatma ya ndoa hii??.
Mtanzania mmoja yupo London akawaagiza ndugu zake wamuolee mke, Wakamuolea (kufanya hivi katika dini ya Kiislamu inaruhusika lakini huwezi kumuingilia mwanamke, sina hakika kuhusu dini zingine). Jamaa akaja Tanzania kukutana na mkewe. Mara tu baada ya kushuka Air Port Tanzania akakutana na msichana Mzuri akashawishika akamtongoza wakaenda guest na wakafanya tendo la ndoa! Alipoenda nyumbani kukutana na mkewe akamkuta yule msichana ndo mke mwenyewe!
Je huyo Jamaa alizini au alilala na mkewe? Nini hatma ya ndoa hii??.