Jibu la I AM SINGLE

ni kweli kabisa wanaume ni ngumu kuweka their tru relationship status zao. Me niko simgle for now ila my fb status ni inrelationship. Simply sitak maswal meng frndz wakiona nimechange waanze maswal
 
We Tanzanians and some of the Africans especially those who live in Africa bado tuna explore technology , mpaka pale tutakakapoanza kuichukulia serious kama wenzetu.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Napendekeza your next research iwe kwenye hili suala.

Nitajitahidi nifanye lakini inrelation to HIV persistance, watu wanadanganyika wanadandiana matokeao yake wanabaki wanajuta,
 
Hii ndo mnaita swanglish ama??
Huwa nashindwa kabisa kusoma na kumaliza habari yenye lugha inapochanganywa namna hii.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Sasa unadanganya ili uwe nao 100?wa nini hao wote?

elewa mada wewe! Huyu dada ndiyo alidanganywa ktk tafiti yake.
Bra-joe wewe ndio hujamwelewa Zion Daughter

Haya mambo ya kudanganya relationship status yamepitwa na wakati, mwambie mtu ukweli kama ni mkware mwenzio atakukubalia tu. Kuna watu hawajali whether wewe una mtu au huna as long as anajua anachofuata kwako. Sio kudanganya na kuanza kuumiza watu wasio na hatia.

Tubadilike jamani.
 
Last edited by a moderator:
Ni kama tunaishi kiuongo vilee... Afu mwisho wa siku ikigundulika mtu yupo dabo, ndo zinazuka sredi kibao za kuumizwa!
 

Thank you very much.I like you.
 
yaani deciding btn many!
 
Kuna tafti zingine haziwezi kutusaidia ktk maisha, haina haja ya kufanya utafiti kama huu wakati una majibu tangiapo, fanya tafti za kibiashara, ili mwisho wa siku tupate vitu vipya, watu wanapoteza muda mwingi ktk maisha ya uhusiano, everyday your dreaming, wen will yo achieve yo drm? Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza............................................................................................................................ Tusipoteze muda mwingi ktk maeneo yasiyo na vipawa mbele in our life...
 

Wengi hawajui nini wanakitaka kwenye mapenzi, hata hawajui jinsi ya kupata, hata hawajui nini hakipatikani, hata pia hawajui gharama za kupata wanachokitaka............. believe me!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…