dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
- Thread starter
- #41
Hah
ahhha we nouma"Haina shida shemeji, ngoja nisubirie. Kwenye mboga yangu usiweke pilipili na juisi isiwe ya baridi sana. Aaah shemela leo wacha nifaidi mavituz yako"
Muda huo nimeshakaa na kuchukua rimoti ya tv.