VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ni mara baada ya kuwepo uzi uliosomoka 'Mishahara UDSM utata mtupu' uongozi wa UDSM umeitisha Mkutano wa wafanyakazi wote ambao utahutubiwa na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa Rwekaza Simpho Mkandara.
Katika taarifa ya kiako hicho, kitakachoanza saa tano asubuhi hii Ukumbi wa Nkrumah, Mukandara atazungumzia hasa utata uliojitokeza kwenye mishahara ya wafanyakazi Chuoni hapo.
More to come...
Katika taarifa ya kiako hicho, kitakachoanza saa tano asubuhi hii Ukumbi wa Nkrumah, Mukandara atazungumzia hasa utata uliojitokeza kwenye mishahara ya wafanyakazi Chuoni hapo.
More to come...