JF UDAKU October Edition...Reloaded..

Wasiwasi wangu ni kuwa kwa upande wako hata sherehe isiwepo,pia angalia unaweza ukadhani unapanga sherehe kumbe ni msiba, uliza wenzio kwa nini wana sitasita. Beware

Unajifariji eeh?
 
Yeah beibi ndoa yetu ndio mfano wa kuigwa humu huyu Baba V muache arukeruke humu kama kuku anaetaka kutaga

Nhwa hwa haaaa.. !!! ndo vigezo na masharti mlivyowekeana..... when you wake up you find the outside is not there.... ndo hapo busara itapokujia, but alas I'll be gone...!
 
Last edited by a moderator:
Yan Baba V na udaku.com nkikukamata
 
Last edited by a moderator:

Mbona Mkuu waliopotea jamvi either wajao kimastukizi na kusepa kinyatunyatu ni wengi mno? Mf.
YNNAH (Malkia wa Nyuki)
Husninyo
beibe nasty
Mtalingolo
BARgha
Mentol
sweetlady
kipipi
@st paka mweusi
Lily Flower
Catherine
Mzee wa Rula
Ruttashobolwa
Na wengine .
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
nirejee mara ngapi! ujauzito wa Asprin ni kama wa tembo, mwaka wa pili huu sijajifungua! nipomy dear, umenimisijeeeeee?? msiri wangu gfsonwin naye kajaa tele, yupo my dear! namuonaga ikulu, nasikia kawa PS wa jk!

Dah..... MIss u saaaaaana mamito!!!!!!! Pole sikuweza kuja kama nilivyokwambia! Ila Dec lazima nitie maguu...

Pole kwa :mimba:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…