Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Nasikia kuna wana JF eti wanaogopa kuonana.
Haya wana JF Tanga nakuja, ambaye haogopi kuonana na wageni basi ani PM.
Niko njiani.
Haya wana JF Tanga nakuja, ambaye haogopi kuonana na wageni basi ani PM.
Niko njiani.