JF Tanga

JF Tanga

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,439
Reaction score
166,892
Nasikia kuna wana JF eti wanaogopa kuonana.
Haya wana JF Tanga nakuja, ambaye haogopi kuonana na wageni basi ani PM.
Niko njiani.
 
nani kantolea ki0 changu hakifanyi kazi.
Ngoja niite fundi akirudishe afu nikuPM
 
Usisahau kutupa mrejesho ukifika
 
NimeshakuPm, karibu Tanga
niko barabara ya 8 atii
 
njoo tawaqal tupate juice ya tende ukichelewa ibuka nyumbani hotel!
 
Back
Top Bottom