Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Kumradhi kwenu nyote ambao mlijaribu ku-connect JF mkajikuta inakuwa ngumu.
Aidha, nawashukuru wawili walionitumia sms saa 5 (mida ya Tanzania) kunifahamisha juu ya jambo hili ambapo ilibidi tuchukue hatua za haraka kuwasiliana na Administrators wa JF kutafuta ufumbuzi.
Firewall ya JF imekuwa kali sana kiasi kuna IP address kadhaa inawezekana ziko blocked endapo zilikuwa zina-connect mara nyingi kwa kutumia Proxy Server. Yeyote aliyekumbana na dhahma hii atufahamishe ili tuweze kui-white list IP address yake.
Kumradhi kwa yaliyotokea na tunashukuru kwa ushirikiano.
Maxence
(Nimeruhusiwa na Administrators niwakilishe ujumbe huu)
Aidha, nawashukuru wawili walionitumia sms saa 5 (mida ya Tanzania) kunifahamisha juu ya jambo hili ambapo ilibidi tuchukue hatua za haraka kuwasiliana na Administrators wa JF kutafuta ufumbuzi.
Firewall ya JF imekuwa kali sana kiasi kuna IP address kadhaa inawezekana ziko blocked endapo zilikuwa zina-connect mara nyingi kwa kutumia Proxy Server. Yeyote aliyekumbana na dhahma hii atufahamishe ili tuweze kui-white list IP address yake.
Kumradhi kwa yaliyotokea na tunashukuru kwa ushirikiano.
Maxence
(Nimeruhusiwa na Administrators niwakilishe ujumbe huu)