JF roll call

Nimejaa tele kama pishi la mchele,
Umenikumbusha wimbo wa kitambo "Ni Rafiki tu",
" huyo ni manzi ako,"
"Rafiki tu mazee, manzi yangu yupo, mbona hata ye anamjua"
sema we pisi huwa una swaga fulani nazikubali, mi najibu kwa dude la mchizi mox.

Kuchorwa kuchorwa kitu gani, unaweza ukachora na bado usione ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…