JF roll call

Mimi sipo.
Nimeshuhudia vichaa wawili wanapigwa risasi na kupoteza maisha huku hawajui hili wala lile.

So sad kwamba uhai wao umezulumiwa na hakuna chochote kitatokea
Inasikitisha sana.
 
Kumbe kwenye mbio upo vizuri
Kitu ambacho CCM hawakukijua.

Raia wengi wana mafunzo ya kijeshi.

Achilia mbali wale waliokwenda kwa mujibu, ila wapo wale ambao walipita jeshi ila hawakupata ajira.

Hujashangaa kwa nini wakati majengo yanachomwa moto lakini moto hausambai kwenye mazingira jirani???

Ulihisi ni coincidence??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ