uuuwiiii...... usitake nilie kwa loud speaker, hakya nani nitaandamana hadi mawinguni ili sir God amrudishe Bishanga aisee maana nimemtafuta kwa gharama kubwa shahidi shemeji yangu chama maana ndiye aliyemtoa nchi jirani.
uuuwiiii...... usitake nilie kwa loud speaker, hakya nani nitaandamana hadi mawinguni ili sir God amrudishe Bishanga aisee maana nimemtafuta kwa gharama kubwa shahidi shemeji yangu chama maana ndiye aliyemtoa nchi jirani.
uuuwiiii...... usitake nilie kwa loud speaker, hakya nani nitaandamana hadi mawinguni ili sir God amrudishe Bishanga aisee maana nimemtafuta kwa gharama kubwa shahidi shemeji yangu chama maana ndiye aliyemtoa nchi jirani.
Afu na wewe chama kapo yako na Quinne Mamndenyi si ni ya mkataba tu !
(ushahidi ninao)
Sasa mkataba wako unaendea kuisha !
Si uachie tu contituecy before actually period upate heshma kama Madiba ?
Afu na wewe chama kapo yako na Quinne Mamndenyi si ni ya mkataba tu !
(ushahidi ninao)
Sasa mkataba wako unaendea kuisha !
Si uachie tu contituecy before actually period upate heshma kama Madiba ?
Habari ya hapa ndani waungwana? ukweli tutakubaliana humu ndani kuna raha yake jamani kuna watu kazi yao nikuwafanya watu tuwe na furaha kila tuingiapo humu ndani mf.kuna mtu ana itwa Tangopori huyu bwana kila "post" ye anataka "picha" tu basi mie hoi wakina madmB,heaven,na wengine wengi.mungu atubariki jamani.