johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,725
- Thread starter
- #141
We c ndo umeyataka hayoSi vizuri kumshika mtoto na bia
We c ndo umeyataka hayoSi vizuri kumshika mtoto na bia
Mkuu nisamehe mimi bana chonde chonde tushiriki katika maombi hao watu wasifanikiwenimesoma sana, ila amini usiamini ushirikina upo tena watoto wadogo ndio victim wakubwa. ukiamini hakuna ushirikina basi usiamini kama kuna shetani na vilevile labda uwe atheist. uibaji nyota upo, unafanyika kila siku, na watoto wadogo ndio wengi huwa na nyota bado mbichi, hivyo ku expose mtoto wako kwenye jf ni hatari sana, na kama haamini basi subiri mwaka mmoja atakuja hapa kutuambia. labda awe mtu wa Mungu sana, ila kama wa kawaida, ameshamharibia mwanae. kila mwanadamu anazaliwa na nyota katika ulimwengu wa roho, na nyota hiyo huwa inaibika na kurudishwa pia inaweza kurudishwa ila kwa mbinde. maana ya nyota ni talent/talanta ambayo umezaliwa nayo, kuna wengine wana talent fulani, wengine hii, wengine ile kadiri ulivyojaliwa. wengine ya uongozi wamezaliwa nayo, na viongozi wengi huenda kwa waganga kununua nyota za uongozi ndio maana utakuta mtu anakubalika sana na hata mkimpinga vipi anaendelea tu kukubalika. hamjui na mtakuja kujua pale watoto wenu watakapokuwa makopo tu shule wanafeli, maisha wanafeli, wavuta bangi, malaya etc ndio mtajua kuwa wameibiwa kile walichokuwa wameumbiwa.
haya baba mkweSi unajua uzuri/ubaya unaongeza mtu akikua? nisijiingize mkenge nikapata pesa ndogo acha afike 25 kwanza
Yap yap kuna ID mpaka ujitoe ufahamu ndio unaisoma unabaki kuwaza jamaa alifikiria nini kuitumiaZzingine zinaumiza aiseee hasa huyo jamaa wa nyota acha nizichuje kwanza
hapo sasa unaongea. next time avoid kuweka picha yako au ya mwingine public. tulishakuwa sana kwenye hizo nguvu za giza zamani, lakini tuliacha. ninaelewa ninachokiongea. picha ni alama tosha sana kupata contact ya mwanadamu. wengine ni mate (ndio maana ukienda kwa wasukuma avoid kula nyama kwa mdomo, mifupa ile huwa wanaiokota mate yako uliyoacha ni contact, mung'unyua tu kwa vidole nyama weka mdomoni), sauti pia ni contact mojawapo na vingine vingi. ila picha ndo sana. mimi nikitaka kukudhuru wewe nikikosa unyayo wako, nitatafuta picha, nitatafuta, nguo yako, nitatafuta contact zako ambazo sitazitaja hapa. ila kwa kawadia watoto ndio huwa victim sana kwenye wizi wa nyota ndio maana nilikuwa nakuonya hilo.....kuokoa mwanao hapo muombee mfunike kwa Damu ya Yesu huwa wanashindwa kuiba vitu vyake, ila uishi ukijua hayo mambo yapo na si kila mwanadamu anayekuona una mtoto anapenda uwe na mtoto pengine yeye hana au pengine yeye ni ajenti wa shetani. humu jf kuna maajenti ya kuzimu wengi sana na wengine wana majina kabisa, ndio maana usijione upo salama unapoingia kwenye mitandao, kuna hadi majini humu, na wengine wachawi na waabudu shetani kabisa. siku zote wanafundisha before you post anything especially your picture or passwords, uwe makini kwasababu it is not a safe venue.Mkuu nisamehe mimi bana chonde chonde tushiriki katika maombi hao watu wasifanikiwe
Hahaha wachaga banah...hivi wewe ni wa machame au kishimunduHappy birthday my daughter i love u so much.. Mungu akupe maisha marefu yenye baraka na pesa nyingi .. amina
Asante sanahapo sasa unaongea. next time avoid kuweka picha yako au ya mwingine public. tulishakuwa sana kwenye hizo nguvu za giza zamani, lakini tuliacha. ninaelewa ninachokiongea. picha ni alama tosha sana kupata contact ya mwanadamu. wengine ni mate (ndio maana ukienda kwa wasukuma avoid kula nyama kwa mdomo, mifupa ile huwa wanaiokota mate yako uliyoacha ni contact, mung'unyua tu kwa vidole nyama weka mdomoni), sauti pia ni contact mojawapo na vingine vingi. ila picha ndo sana. mimi nikitaka kukudhuru wewe nikikosa unyayo wako, nitatafuta picha, nitatafuta, nguo yako, nitatafuta contact zako ambazo sitazitaja hapa. ila kwa kawadia watoto ndio huwa victim sana kwenye wizi wa nyota ndio maana nilikuwa nakuonya hilo.....kuokoa mwanao hapo muombee mfunike kwa Damu ya Yesu huwa wanashindwa kuiba vitu vyake, ila uishi ukijua hayo mambo yapo na si kila mwanadamu anayekuona una mtoto anapenda uwe na mtoto pengine yeye hana au pengine yeye ni ajenti wa shetani. humu jf kuna maajenti ya kuzimu wengi sana na wengine wana majina kabisa, ndio maana usijione upo salama unapoingia kwenye mitandao, kuna hadi majini humu, na wengine wachawi na waabudu shetani kabisa. siku zote wanafundisha before you post anything especially your picture or passwords, uwe makini kwasababu it is not a safe venue.
KishumunduHahaha wachaga banah...hivi wewe ni wa machame au kishimundu
Ohhh kumbe hahahaha, wa kishimundu wamezubaa sana hawapendi pesa kama wewe....wewe utakuwa mmachame au maranguKishumundu
Kwani wana JF sio watu wema? Au unahisi watamroga? Behind the scene, JF has the most wonderful people... People who always share, are good people...Mkuu nakushauri ungeenda fb hata hivyo hpd daughter
Amen nimefarijika na maneno yako hasa hayo uliyomwambia huyo comrade hapo juu.Mkuu, hongera kwa kukuza, japo safari bado ni ndefu, Mwenyezi Mungu akutie nguvu...
Amen.... madame sakayoHappy Birthday cutie, Mungu akulinde akuepushe na maradhi mrembooo