Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,480
- 45,792
Mmh hawa wa kwetu ni wakati wa misiba tuu tena kwa ufadhili wa ccm halafu hazina mvuto
Mmh hawa wa kwetu ni wakati wa misiba tuu tena kwa ufadhili wa ccm halafu hazina mvuto
Hii picha ingeitoa enzi za uhai wake, kesho ulikuwa unyongwe
Oooooh kumbe bas sawa.Kimeanzishwa 1922,unaweza pata picha hapo
Waigeuze hotel ya kimataifa, wanakwama wapi hao wakongo.Hayo ndio Masalia ya eneo la Gbadolite huko Zaire (Congo DR ya sasa) aliyoyaacha Mobutu Sese Seko, Rais wa miaka hiyo.
Palikuwepo na International Airport, midege aina ya Concorde ilikuwa inatua hapo direct kutokea New York.
Sasa wanaishi popo na wanyama mwitu wengine.
View attachment 1798987View attachment 1798988
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndyo Ikulu pacha ya Chato!
Kumbe hongera.Mimi 1996 Durban South AfrikaView attachment 1804805
Leo anazurura na may v8 ving'ora juu.View attachment 1810374
Mwalimu Kassim Majaliwa Majaliwa mwenye shati la bluu.Enzi hizo akiwa mwalimu
Nope!
Ni Winnie ayelitengana na Mandela mwaka 1992.
Mandela alitengana na mke wake wa kwanza - Evelyn Mase mnamo mwaka 1956.
Evelyn anadai aliamua kutengana na Mandela kutokana mumewe kuwa na michepuko lukuki pia kuhamishia "mapenzi" kwa chama cha ANC.
Alikua HB.
Hapa utadhan alikua teja au panya road lol,Aah MondiiiiView attachment 1815236
Thubutuuuuuuh yako.Hanifikii mimi enzi zangu