JF Ninusuruni

Jamani niwahini nisipotee na kufa kwa presha
Nina mpennzi wangu wote tuko chuo kikuu lakini course tofauti lakini tunalingana Umri. Tumeishi kwa pamoja kwa miaka 4 kwa mapenzi ya dhati zaidi ya hat hiv nnavyosema. Mimi namaliza chuo mwaka huu, lakini yeye anasoma sheria lazma wasome miaka 4 kabla ya school of Law
Wasisi wangu ni umri,, na tumepanga kuoana. Je wazazi watatuelewa kwa kigezo cha umri? Jamani nambieni
kama wazazi wako hawataomba cheti chake cha kuzaliwa kama sehemu ya mahali, unayo nafasi ya kuwaa mbia kuwa amekuzidi umli ili walidhike, vinginevo una agenda ingine.
 
Wazazi hawtakiwi kuingilia mapenzi ya watoto wao , labda kama kuna sababu ya msingi ktk kujenga

Umri kati ya WANAOPENDANA KWA DHATI sio tatizo kabisa

ili mradi kila mmoja wenu anajitambua nafasi yake ktk mahusiano yenu na WAJIBU wake ili kulinda upendo kati yenu
 
Jamani niwahini nisipotee na kufa kwa presha
Nina mpennzi wangu wote tuko chuo kikuu lakini course tofauti lakini tunalingana Umri. Tumeishi kwa pamoja kwa miaka 4 kwa mapenzi ya dhati zaidi ya hat hiv nnavyosema. Mimi namaliza chuo mwaka huu, lakini yeye anasoma sheria lazma wasome miaka 4 kabla ya school of Law
Wasisi wangu ni umri,, na tumepanga kuoana. Je wazazi watatuelewa kwa kigezo cha umri? Jamani nambieni
Si uwaulize hao wazazi kama watawaelewa au la! Unataka tukujibu kwa niaba ya wazazi, kwani una uhakika mawazo yao na ya wana JF yanafanana?
 
Losambo nashukuru, sijamzidi umri tumepishana mwezi mmoja. Tulianza wote chuo lakin wao wanasoma miaka 4 mana wanasoma Law mim namaliza mwaka huu so ntamwacha chuo.
Wote tuko dini moja na tunasali sana na kama ni uaminifu huu ndio halisi, nami namtendea haki kwa kuwa mwaminifu so tunaaminiana sana.
Sasa tatizo liko wapi? Kanyaga mwendo, songa mbele, jipangeni sawa sawa... na kuendeleza uaminifu sio ukiingia kazini tena uanze kumsaliti mwenzio... wewe!!!!!
 
Jamani niwahini nisipotee na kufa kwa presha
Nina mpennzi wangu wote tuko chuo kikuu lakini course tofauti lakini tunalingana Umri. Tumeishi kwa pamoja kwa miaka 4 kwa mapenzi ya dhati zaidi ya hat hiv nnavyosema. Mimi namaliza chuo mwaka huu, lakini yeye anasoma sheria lazma wasome miaka 4 kabla ya school of Law
Wasisi wangu ni umri,, na tumepanga kuoana. Je wazazi watatuelewa kwa kigezo cha umri? Jamani nambieni

Kama mnaoana kwa matwaka ya wazazi wenu, yes vigezo na masharti ya wazazi lazima kuzingatiwa.
Lakini kama mnaona kwa vigezo na masharti yenu wenyewe sioni wazazi wanaingiaje hapo.
For the avoidance of any doubt waulizeni wazazi wenyewe.
 
Back
Top Bottom