JF Name yako ina maana gani?

JF Name yako ina maana gani?

naomba mods waziunganishe hizi thread na ile ya BAK
 
Mi niliona katika shughuli yoyote lazima kuwe na THE BOSS,nikafikiria ule mstari wa biblia kila mtu atapewa wa kufanana naye basi nikaamua kuwa msaidizi wa boss yani nikawa ubavu THE SECRETARY kongosho umenipata hapo?
 
mi nipo full open,si jina la kificho kama wengine walivyofanya but jina hili natumia kama jnr,siitaji kujificha kwakweli.najiamini
 
Mi niliona katika shughuli yoyote lazima kuwe na THE BOSS,nikafikiria ule mstari wa biblia kila mtu atapewa wa kufanana naye basi nikaamua kuwa msaidizi wa boss yani nikawa ubavu THE SECRETARY kongosho umenipata hapo?
 
aaaaah semegi...miss u...ivi si sawa nikikuchumu shem?...mmmmwaaaa!
Hahaha! Shem bana, kumchumu shemeji kwenye giza ndio hairuhusiwi, vile wewe umenichumu kwenye taa hakuna tatizo lol...


Thanks shem langu...
 
Paxman explains the way I am:
With my charismatic personality and persuasive powers I naturally attract all the good things in life which I could want. Kind, generous and sincere I am good friend and partner with strong attachments to home and family. I am ambitious and have sound business acumen, this together with a natural love of life ensures that I enjoy success financially and in my relationships.

Pax= kiss of peace.
man=being.
 
nimejiita hivi kutokana na roho mbaya niliyokuwa nayo dhidi ya serikali ya Mzamiaji aka baba mwanaasha
 
nimejiita hivi kutokana na roho mbaya niliyokuwa nayo dhidi ya serikali ya Mzamiaji aka baba mwanaasha

Mkuu kama nakuona vile.
Si mchezo, na paka wako huyo anayevuta sigara. Punguza munkari baba.
 
uzi wa aina hii upo, ngoja wataalamu waje watupie link.

Mie nilijiita hivi maana napenda liwa.

Kama upo kinywaji basi ulabu uliyolabuka leo unakukataa!
Kama ni Msuba, kitakua kijiti cha Kyela tena kitakua kilivunwa kwenye shamba la Babu yake Mwakyembe.
Usikirudie
 
Back
Top Bottom