Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeenda mbali wapo waliomaliza 2011 na wengine bado wako shule form2. Ila kuna vibabu balaa,kuna mmoja nilikuta anaulizia mwenzie aliyemaliza naye f6 71
Angekua anataka mjue asingewachanganya...
lakini kweli
mbona nshasema wazi
au hamtaki kuiona pamoja na kuvaa msuli huu?
Uwe unaonekana na,huo, msuri baada ya kupigika,
Kongosho mwanaume tena kasmol hauz kangu.
Kongosho bana....
Dah... Jana nilikuwa nimevaa miwani... Lakini nadhani nilieleweka...
nina wasiwasi buzi langu kongosho litaibwa. Lol.
kaa chonjo bi dada....kuna shosti alishatadharisha...kuna makwapukwapu ya vipipimoyo vyetu humu...stukaa....
nina wasiwasi buzi langu kongosho litaibwa. Lol.
kaa chonjo bi dada....kuna shosti alishatadharisha...kuna makwapukwapu ya vipipimoyo vyetu humu...stukaa....
Taratibu Husninyo..
Mi jibwa koko tu..
mmmh...
heee! Sasa sijui nilifunge kengele likijitingisha nisikie. Lol, hebu nipe maujanja preta.
Aah jamani..
Mnmrefer yule punguani anayejiita Mrs Ma2mbo... Aah cmon Preta...