Aisee mwalimu wangu Gaijin keshajua?
Naomba mumwambieni mkimwona. Hatimaye kilio chetu kimesikilizwa kabla hatujaandamana kama Cairo.
Maxence chagua mjukuu wangu mmoja umpendaye nikukabidhi:clap2::clap2::clap2:
Hommie sasa hadi TIP TOP tutakuwa tunakupata:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2: Nimeikubali mpaka chemba ipo duh
Hahaha halafu naangalia option ya ku-BAN mtu chatroom l.o.lAfadhali mkuu kuna watu waligeuza threads za watu chatroom bubu na kuharibu mwelekeo.
Kumbuka always unapokuwa kwenye JF unaobserve sheria na kanuni. Kule ban zipo kama kawaida lakini tunaamini hizi ban siyo suluhisho bali ni behavior change na kuelimishana.
Kumbuka kwenye Nick unaweza kutumia jina lolote kisha una log in. Upande wa chini kulia kwenye chat box unaweza kubadili nick yako anytime ukitaka.
Epuka kutumia CAPS kwenye chat kwani utakuwa penalized. Chochote ufanyacho kule ujue kipo under surveillance muda wote. punguza jazba, make new friends and punguza stress kwa kuchat na wengine.
Kumbuka always unapokuwa kwenye JF unaobserve sheria na kanuni. Kule ban zipo kama kawaida lakini tunaamini hizi ban siyo suluhisho bali ni behavior change na kuelimishana.
Kumbuka kwenye Nick unaweza kutumia jina lolote kisha una log in. Upande wa chini kulia kwenye chat box unaweza kubadili nick yako anytime ukitaka. color scheme at your choice ukiwa kule.
Epuka kutumia CAPS kwenye chat kwani utakuwa penalized. Chochote ufanyacho kule ujue kipo under surveillance muda wote. punguza jazba, make new friends and punguza stress kwa kuchat na wengine.
Enjoy chating but not cheating!
Aiseee!!!! Kitumbua kimeingia mchanga l.o.l
msaada jamani nimesoma Makamba sekondari... na nimeshindwa kuconnect
msaada jamani nimesoma Makamba sekondari... na nimeshindwa kuconnect
Mazee mimi huku imeniambia kwanza ni-download JAVA before i proceed kwahiyo ndicho nachofanyaHivi umeweza kufanya lolote kule? Kichina sikielewi kabisa.....
Kuna sehemu ya kukonekti? Mimi sielewi chochote.......zaidi ya hii thredi...
Ban mpaka Chatrum kweli Mods hawataki utani.
Mkuu hadi kuna Surveillance camera's chatrum unaona babu analalamika kuwa atatongoza vipi kama kuna camera inaangalia utongozaji wakeBan mpaka Chatrum kweli Mods hawataki utani.