JF Kuzuri Jamani! JF naipenda

JF Kuzuri Jamani! JF naipenda

Hahahahah lol! Chezeya JF weye!!! Mtu anashushiwa facts halafu anaondoka kimya kimya kwa minyato
avatar10550_69.gif
tena bila hata kuaga lol!


Hapa umenena vema aisee...nshawahi kupost humu sredi moja hivi ...watu wakanishushia facts... mbona nilijuta kwa nini nimeianzisha
 
Hahahaaaaaaaa! Acha woga! Mimi nisipopost utumbo sisikiii raha kabisa!

Lara 1 ww ni kubwa la maadui ndo maana huoni tabu. Kuna watu wanaogopa kushushuliwa km wanavoogopa njaa we acha tu. Bora hatutumii majina halisi na hamna ulazima wa kuweka picha, mbona watu wangeomboleza humu
 
hahahaaaaa naona ulitaman ubadilishe username. Kuna watu wako special kwa kushushua humu aisee.
Dah yaani mkuu nilitafuta sehemu ya kufuta sredi sikuiona aiseeee...ikabidi niipotezee ile sredi sijawahi kuifungua wala kuichungulia tena mpaka leo.....
 
JF kiwanda cha kujifunza kuvumilia kukosolewa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom