Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,036
- Thread starter
-
- #101
Mtu ambae yuko kundi la kwanza, la digrii, ambae haafiki malengo ya chama, anaweza kuwa member kwa mujibu wa katiba? Kama anaweza basi nyinyi mtakuwa hamna "sound mind" mnayoitaka kwa wengine.
Kama hawezi kujiunga basi Katiba yenu inaipiku ile sheria mbovu kuliko zote duniani inayosema Rais wa Tanzania asilipe kodi.
Let X = sharti la kuhitimu madigrii.
Let Y = sharti la kuwa shirika au chombo kingine, "unincoporated body."
Let L = sharti la kuafiki Lengo la chama.
Wanachama wa Kundi la kwanza: Sharti X, na sharti L
Wanachama wa Kundi la pili: Sharti Y, na shart L
Wanachama wa Kundi la tatu: Sharti L.
Kwa hiyo, huwezi kuingia kama hujatimizia L. Sawa?
Na ukishatimiza L, huhitaji X na Y tena!
Kwa hiyo X na Y hazihitajiki! Clause 3.1.1 na 3.1.2 zinauawa na Clause 3.1.3
Hapo mnachekesha.
Unless, unless, ukitimiza sharti la madigrii, basi sio lazima uafiki malengo ya chamaaa haa haaaa a haaaaaaa!
This is hilarious! Endrew Chenge couldn't write such legal comedy.
Swali la nyongeza: Je, "unincorparted body" mtakayo ruhusu inaweza kuwa kama nini, kundi la mtaa wa pili la wacheza ngoma ambao hawako organized kwa saaana?
Anza upya.
Tena!
Sanctus,
... mimi sijawa 'professional', ila kwa kuonesha umwanapinduzi wenu kunasiku mbeleni nitajaribu kujiunga, natumaini nitakidhi mahitaji... na katiba mliyonayo sasa itakuwa "imeshaboreshwa" vya kutosha iwapo watu makini kama akina Kuhani watazidi kuwapa challenge muhimu kuhusiana na muundo wa chama kwa nia ya kukiendeleza.
Akhsante kwa mwaliko.
SteveD.
Well Spoken Sanctus, and thanks again for your invitation, in some sense umedemonstrate some sound leadership skills za kuhakikisha unazama na chombo chako, Congratulations! Count me in!
Ingawa sijasoma majibu yote yaliyotolewa na Mheshimiwa Mutsimbe, ni dhahiri kuwa ameonyesha kuwa na uwezo wa juu sana wa kuchukua hoja za watu mbali mbali na kuzikabili katika mwelekeo wa kuleta maendeleo ya maana kwa jumuia anayoongoza bila kuwa na jazba. Hiyo ni sifa nzuri sana kwa kiongozi; laiti wanasiasa wetu nao wangekuwa namna hiyo.
Asante sana GM . . . ni matumaini ya TPN na uongozi wake kuwa kama falfasa yako inavyosema . . "We are what we repeatedly do. Excellence, therefore is not an act but a habit" Inatupasa kulifanyia kazi hilo ili kuifanya TPN iwe na Excellence.
Nashukuru kwa michango yako yote.
Sanctus Mtsimbe.
Sikubaliani na wewe hata kidogo juu ya watu kutumia majina yao katika JF. Anonymity ni swala linalosaidia sana katika kufichaua maasi. Wana JF kaza buti. Huko TPN hata mimi siendi mpaka nione matunda. Siwezi kumezwa na CCM part two huku najiona ebooooooooooo. Fanyeni mambo ya maana watu watajileta wenyewe siyo kujirembea majina MSc, BSc na ushambenge mwiiiiingi!
Kwa hiyo kuna sharti ambalo ni common katika category zote tatu za membership.
washomire watajulikana vipi
Na hapo ndio kuna tatizo.
Hili sharti, kuafiki au kusapoti malengo ya chama, ni lazima ulitimize kwa vyovyote vile. Na, ukilishalitimiza, huhitaji mengine. Hapo ndipo it gets funny!
Kwa hiyo, yale masharti mengine mawili - shahada au stashahada na kuwa shirika na shirikisho - ni masharti moot! Moot kwa maana kwamba, qualification moja ambayo ni lazima uwe nayo kwa vyovyote vile, inafuta, ina obviate the need to meet any other qualification. Any requirement which is mandatory but at the same time a sufficient requirement, becomes the only requirement. Clauses 3.1.1 and 3.1.2 are therefore moot! It would not make a difference if they were not there. But by being there they make the constitution look silly!
Katiba yenu haijakaa kama ina "sound mound" kama mnavyowataka wengine kabla ya kutoa boriti jichoni mwenu kwanza!
Sanctus Umelala saa ngapi maana unakabiliana na hizi nondo hatua kwa hatua toka jana na bado naona upo...
Kwa hakika ujumbe utafika. Kiongozi wa Kweli. Keep it up brother.
Zimwi likujualo halikuli likakwisha, lakini kwa JF CCM wakijua jina lako halisi umejiingiza kifungoni kimawazo. We unafikiri wakijua kuwa wewe ni Ofisa IKULU na upo JF si ndio watajua kuwa mvujisha siri. Hivi hivi anonimity ndio watajirekebisha maana humjui nani adui yako na hivyo itakufanya uwe katika mstari ulionyooka kila wakati. Mnaojitambulisha ni vizuri kwani role yenu humu ni kusoma Ila wapo wenye role ya kijasusi humu. Yaani wafukua habari ili kuisaidia nchi hawa waendelee kuwa ANONIMOUS
Jamani hivi JF ni anti ccm tu? hili niswali ambalo naona niulize humu ndani. maana sielewi ccm imeingiaje hapa ktk tpn?
ina maana akifanya mbowe ufisadi haandikwi huku? mi naona humu tunachukia mabmbo maovu from what ever source ccm and the like. mnatutisha sisi tulio neutral na tunakaataa maovu yote sio nusu nusu je hatustahili?
msifanye huu ukawa mtandao wa upinzani naamini hata nia ya waanzishaji haikua hivyo. MODERATORS PLEASE HELP KAMA NIMEKOSEA HAPA.
Afterall kujiunga ni hiyari ameomba utembelee website uwasome ukikubaliana sawa au la basi . na hakika ww hata ujatake time kwenda huko ila basi tuu tunatumia uhuru wetu vibaya.
Sanctus Mtsimbe,
You are the man. Baada ya kusoma post yako na majibu yako kwa hoja mbalimbali nashawishika kuamini kwamba upo makini katika kutekeleza malengo na ndoto za TPN. Hongera sana, mimi nakuunga mkono 100%. Kila hatua ya kutusogeza mbele na kulitoa taifa letu katika aibu tuliyo nayo inapaswa kuungwa mkono sana.
Sanctus Mtsimbe.
Sikubaliani na wewe hata kidogo juu ya watu kutumia majina yao katika JF. Anonymity ni swala linalosaidia sana katika kufichaua maasi. Wana JF kaza buti. Huko TPN hata mimi siendi mpaka nione matunda. Siwezi kumezwa na CCM part two huku najiona ebooooooooooo. Fanyeni mambo ya maana watu watajileta wenyewe siyo kujirembea majina MSc, BSc na ushambenge mwiiiiingi!
washomire watajulikana vipi
sanctus Mtsimbe,
You Are The Man. Baada Ya Kusoma Post Yako Na Majibu Yako Kwa Hoja Mbalimbali Nashawishika Kuamini Kwamba Upo Makini Katika Kutekeleza Malengo Na Ndoto Za Tpn. Hongera Sana, Mimi Nakuunga Mkono 100%. Kila Hatua Ya Kutusogeza Mbele Na Kulitoa Taifa Letu Katika Aibu Tuliyo Nayo Inapaswa Kuungwa Mkono Sana.
Kitila Na Mwana Msimbe!!
Nilichojifunza Humu Jamvini Ni Kwamba, Usipokua Makini... Unawez Kukosa Usingizi!!
Tpn Ni Nzuri Na Kama Haukidhi Kuwa Member Ni Bora Kuacha Walengwa Wa Tangazo, Nina Wasiwasi Na Baadhi Ya Walio-negative... Hawakubali Kwamba They Dont Fit In Every Network
Keep It Up BWANA Msimbe, Na Wapinzani Wa Tpn Kalaga Baho!!!!!!!!
Kitila Na Mwana Msimbe!!
Nilichojifunza Humu Jamvini Ni Kwamba, Usipokua Makini... Unawez Kukosa Usingizi!!
Tpn Ni Nzuri Na Kama Haukidhi Kuwa Member Ni Bora Kuacha Walengwa Wa Tangazo, Nina Wasiwasi Na Baadhi Ya Walio-negative... Hawakubali Kwamba They Dont Fit In Every Network
Keep It Up BWANA Msimbe, Na Wapinzani Wa Tpn Kalaga Baho!!!!!!!!