dagmh hii wiki kuipata jf imekuwa kimagutu kama umeme wa tanesco mara huoooooo mara haaaaaaa.......huoooooo.....ayaaaaaaa......huooo....
though umeniwezesha kuwajua wadau muhimu through fcbk
mkuu tuliona amabvyo tumeteseka kila ukijaribu kufungua.....hakuna.....mara imerudi, na hivi huku Kibosho mvua zinanyesha na tope la kutosha ilibidi nibaki kunywa mbege tu na kula maparachichi, kule fesi buku sijapazoea
Kumbe kuikosa JF ni kama kutupwa kisiwani bila mawasiliano yoyote! Jana nimekuta wana JF kibao kule kunako FB. Wanatumia ID tofauti na zile za JF. Nimewatambua kutokana na kuchangia post ya Mimi Mwanakijiji; Mimi Mwanakijiji, aliomba wana JF wawe na subira kwamba maboresho yanafanyika. IDUMU JF!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.