JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Ngoja nilale nimekosa mpinzani/
Nishatia hat trick mpira natia kwapani/
Nimekalisha mamen na mamami/
The battle so cool acha nimuwahi boniuso kitandani/
 
Spendin hours writing shit? Really?
Ama kweli fani imevamiwa/
Worry not ukiwa na mi kila kitu kitajipa/
Kabla ya kulala hebu chagua kabisa/
Kichwa utalaza wapi kifuani au kwenye kibuisa mpipa?
Nageuka Dudubaya, Mwanagu Hauna Nidhamu

Castr usinizoee vibaya, mtengwa usiye nifahamu

We sio mkuu wa mkoa, na ki
Flow nakupa zero

Kwenye wakuu wa kuboa, soon utaibuka hero
 
Nageuka Dudubaya, Mwanagu Hauna Nidhamu

Castr usinizoee vibaya, mtengwa usiye nifahamu

We sio mkuu wa mkoa, na ki
Flow nakupa zero

Kwenye wakuu wa kuboa, soon utaibuka hero
Nakuboa kwa hii mistari iliyoenda shule/

Nakuokoa usiendelee kua msukule/

Sikiliza darasa huru, uliza swali ukipenda/

Mistari rap katuni, ulidhani wapi unaenda/

Unakimbilia hotelin, chakula chako kibichi/

Mtengwa tunakutega relini, tushajua wewe snitch
 
One two, one two everybody say 'yeah' coz the sucka is through/
Uko so weak pek yako huniwez labda uje na crew/
Unaendekeza umbeya ngoja nkushushie vitu true/
Freestyle yako rafu, mistari uchafu mtupu/
Sikilizia yangu inavyowasha kama upupu/
Nafumua kila kitu simuonei huruma mtu/
Mtengwa ngapulila ila kwangu ni virgin/
Ur head on my chest n i'll be doin that ass/
Sikio la kufa, sikia michano tiba

Na mtaka mpenda sifa, Aje kama demu wa Kiba

Mnatalk bla bla, vitendo vimekua bubu

Shemeji unaezima taa, utakua unataka dudu

Sikupi kinachokufaa, michano nimeipa juju

Saigon ebwan daa, Mbeya wanaiita Sugu

Junior baada ya mbunge, sababu wana husudu

Michano nunge, imekazwa ikakazika kama kamba ya kudu
 
Sikio la kufa, sikia michano tiba

Na mtaka mpenda sifa, Aje kama demu wa Kiba

Mnatalk bla bla, vitendo vimekua bubu

Shemeji unaezima taa, utakua unataka dudu

Sikupi kinachokufaa, michano nimeipa juju

Saigon ebwan daa, Mbeya wanaiita Sugu

Junior baada ya mbunge, sababu wana husudu

Michano nunge, imekazwa ikakazika kama kamba ya kudu
Mistari lege imelegea, braza umekula bamia

Miguu tege nakutegea, kichwa kichwa unaingia

Hali tete unatetema, stanza zinakupasua

Nimesimama dede, umeinua mikono king kiki na kitambaa cheupe

Umesimama kidete, mtafute Hadija Kopa mkaimbe malupe lupe

Nimezikaza kete, we boya unaelea kama vile vitu vyeupe

Nakuja na noah nikuteke, mi ni bahar ya mistari haitakuja ikauke
 
Naamka Asubuhi nakutana na utumbo wa fake emcee wasioziweza fasihi.Nawasihi wasipime hizi level walahi.Jukwaa lililo huru nafoka bila ushuru wa kwanza hakika mimi japo tupo msururu.Kwa freestyle mi ni nuru kaa mbali giza nene mwenye rangi ya kunguru.Na-battle nikiwa ghetto mdomoni na mswaki,mi NewYork wao kiteto japo wengi hawataki.Tangu enzi za WAPi na Chief Ramso Kwa British,iwe Ngeli or swahili kwenye hili hamnitishi.Nahalalisha mauaji kupitia hii michano jf ni mtaji kwa Great Thinkers wenye maono.Hollaaaaaa.
 
Mamito nipo hapa show off tukafanye gheto/
Natokea street usijali lugha jali mgegedo/
Game ipi bora? Unayocheki au nitakayokuchezesha kesho?/

Hilo tope haina shida niko tayari kuja bondeni/
Bonde lako limenteka sitak kutazama pembeni/
Show kama kawa itaanzia sebuleni/
Unataka threesome? Usijali njoo na shoga yako Penny/
Hii ni over size, niki alisema itakupwepweta.
Jiandae shost, Kwa beg usisahau na hiyo lady pepeta.

Acha shobo wew kibamia, si wenzako ni mihogo.
Umezid kujibenua, acha tyu ulitishiwe gogo.

Mi ni mwendokasi, so huwa sinaga foleni .
Nakukany usidandie njian, please nikukute kituoni.

Wew ni dogo tyu, acha nikuvute kwa pelemende.
Kwahizo shobo zako, leo kibrah lazima uende.

Utachagua style, kama utachuma mchicha au kuw dogi.
Makelele sitaki, kimyakimya ukimalza utaunga bogi.
 
Siku inaanza kwa msuba/ nakataa kabisa kuwa soba/ Nina konyagi sina soda/ naigonga dry kisha nafurahi/ navaa gwanda beibeeh anasema nimependeza walahi/ natupia buti kisha nasema bye/
 
Kwa stori za kijasusi,namkubali the bold.
Dp yake yaakisi,ufanano na jemsi bond.
Wamzidi ray kigosi,the bold aka the gold.
Nsipo kutaja pls usinichukie,
Wanajamii mpo wengi so usininunie,
Chakusema nacho msinipangie,
Huu uzi uko poa so mods msiufungie,
Ukipata like jf shukuru Mungu,
Wengine kila nyuzi ni kukoment majungu,
Mwanafunzi mweupe au whitedent,
Nani wa kuchana to this extent,
Wether am too good or even excellent,
I move like electrons in the element,
I move like electron in an element,

Keep on moving
 
Kigozi bila manati ni sura pasipo pua.Hii michano bila mimi ni sala bila ya dua.Na najua wanaugua kila niki-change gear.Ukweli haufichiki,sifichiki mi jua.Wao majuha mi ni jua,nikijua wanaugua ka kibua napasua mawimbi kati ya bahari.Sina habari vibatari michano kwangu salary.
 
Watoto mna flow matusi, hili sio jukwaa la wakubwa

Bado hamjakua ki versi, kwa hiyo msituletee shida

Nawapa conection zenye tip, muwe top kama janjaro

Then nawatumbua kama jipu, Maguful wa hii battle
Ok ok so kazi imekua shughuli, mtengwa kasingizia lugha

Nabeba versz kama kuli, mtengwa acha ukuda

We ni mpoto mkosa nauli, bado unataka kuja?

Wenzako wote wenye viburi, wamesiz kama Chdi na Maunda

Usilazimishe kukaza msuli, unatapa tapa kama Yuda

Msaliti kwa vipande kumi, snitch ni mtengwa buda
 
Muulize mjumbe wa bwana , atakwambia mimi mjumbe wa vina

Ma Emcee Coke Zero , njooni niwafundishe kuchana

Ngoja na leo Tuwaseme , labda mta BADILI TABIA

Mme mess kwa Mbwa dume , lazima mtakimbia


Me ndo @Mr.JF huo NI MTAZAMO TU

Mwambieni Miss Natafuta akinitaka atanipata tu

Kichwa Kichafu , hamniwezi mimi tajiri wa stanza

Kanda ya ziwa wananiita chief, shahidi tajiri wa mwanza

Natoa waraka, kama mtume paul kwa warumi

Kinywaji unachokitaka, @barafu ya moto ndo mimi


 
Muulize mjumbe wa bwana , atakwambia mimi mjumbe wa vina

Ma Emcee Coke Zero , njooni niwafundishe kuchana

Ngoja na leo Tuwaseme , labda mta BADILI TABIA

Mme mess kwa Mbwa dume , lazima mtakimbia


Me ndo @Mr.JF huo NI MTAZAMO TU

Mwambieni Miss Natafuta akinitaka atanipata tu

Kichwa Kichafu , hamniwezi mimi tajiri wa stanza

Kanda ya ziwa wananiita chief, shahidi tajiri wa mwanza

Natoa waraka, kama mtume paul kwa warumi

Kinywaji unachokitaka, barafu ya noto ndo mimi
Natoa kipigo hevi emcee anableed/

Naongeza kipigo zaidi mara anaomba tag/

Vya moto nilivipoza sasa hivi baridi/

Na ninazidi kukoleza we ni emcee wa Balimi/

Mimi ni ruti ndefu naona unatoa nje ulimi/

Unajiona mchafu ona ninavyokukoboa/

Mi ndo jik babu hua yananikoma madoa/
 
Ok ok so kazi imekua shughuli, mtengwa kasingizia lugha

Nabeba versz kama kuli, mtengwa acha ukuda

We ni mpoto mkosa nauli, bado unataka kuja?

Wenzako wote wenye viburi, wamesiz kama Chdi na Maunda

Usilazimishe kukaza msuli, unatapa tapa kama Yuda

Msaliti kwa vipande kumi, snitch ni mtengwa buda


Nakurudisha kitambo, mfalme anataka lah lah lah

The nawanasha kwa urimbo, maana mnaleta blah blah

Mtengwa fundi mitambo, saigon ebwana dah ebwana dah

Castr mc qute hapo ulipo, natuma kiss mwah mwah mwah
 
Nakurudisha kitambo, mfalme anataka lah lah lah

The nawanasha kwa urimbo, maana mnaleta blah blah

Mtengwa fundi mitambo, saigon ebwana dah ebwana dah

Castr mc qute hapo ulipo, natuma kiss mwah mwah mwah
Ok now beast mode on, freestylin kitambo tangu chaukucha

Kwa hiki kipigo huponi, uliowatag watakutafuta

Utam mpka kisogon, kwa vtu hevi nnavyokupa

Umejificha nyuma ya nani? Hahaha eti miss natafuta!!!!?
 
Sihitaji mada kuchana.. Nahitaji beat kuwabana.. Wapuuzi kwenye Uzi mmejazana.. Niite shemeji dadaako ananiita bonge la bwana... Aaanha twendeeee

sina mpinzani.. kwenye fani ya kughani.. napata mizuka hasa nikinyonga mjani.. nafoka kishenz wala sio utani.. Yeeeahhh one two

Twende tena.. Yeeeah,

MMU.. Wanajadili Mapenzi tu.. hakuna wasaidizi wote ni wakuu.. swagga za majuu.. Asprin babu miss chagga mjukuu.. unabisha!? Basi sema suuuuuu....

Daby nipe mpinzani.. nimuonyeshe mautundu ya zamani.. mi ni old skul wakuja usilete utani..

Daaah... Haya mambo yanaenda na midundo wanangu
pesa ndiyo mpango mzima.. ooh miss chagga unauza sh ngapi?
unataka ule vya bure? hii kitu inahudumiwa .

kuoshwa, kupakwa futa, bado kuiweka viungo na bado unataka bure ?

tafuta pesa upate tamu .
 
Back
Top Bottom