Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
- Thread starter
- #841
HahaNaona unarukaruka kama umemeza kitenesi/
Michano yako inayumba blaza kaka we mwepesi/
Nachezea biti kwa tenzi producers wananita messi/
Mkulima napanda mbegu we kapande hela desi/
Kwa maneno machache picha kubwa inajieleza/
Form1 dume mashine sibust na mchuzi wa pweza/
Nikiandika ni lambogini kaa mbali mistari alteza/
Kacheze unapochezaga hapa kwangu hautaweza/
Sent using Jamii Forums mobile app
Nagawa vina bila visa, kama penzi la Inna kwa Ivuga/
Bongo bahati mbaya huna viza, kupaa labda kwa ungo kuloga/
Nipo ligi soo, marapa kama wewe nawatomasa kama chuchu /
Daby ndiyo jogoo, nawapanda nitakavyo kwangu mwiko puchu /
Hauniwezi bro, uliza msimbazi niliikalisha kariakoo/
Wenzio kunichana wanaona soo, nimewapa tumbo la kuhara wanashinda choo/
Nagawa ban kama Paw, wee ni jplus mi ndiye Bigshow/
Nipo JF AM to PM, rapper feki subiri uhakiki wa JPM /
Ni follow nina mengi kama CNN, USA baby swagga za NN/
Natoka Chuga sio KLM, dogo bado unarisiti pepa la PCM?/