After short hollday let me fu** the holeIts a sad fact, you’re locked in my back pack/
I’m dressed in black black, its your burial ,I ether you that bad/
Hit your corpse with a guitar ..and continue your string of bad luck/
Beat him quick quick, he is a feeble nitwit/
As this dude dey cause harm, it will be to tease pigs/
I’ll tell you why you hating me on the thread/
because sexually frustrated **** boys ain’t getting head/
Hiyo ilikua intro imesound good ngoja nitupe mawe,
Nimefika mtu mzima watoto usiku mkalale,
Sikilizia lyrics vina navirusha sadakalawe,
Mjinga okota lyrics ule kozi ya mistari,
Erevuka battle na mimi ukishakua tayari,
Everyday ni boxing day napigana na maisha,
Fu.ck it comes strong inaelekea kunimaliza,
Surviving daily hii nayo ni miujiza, kababaye ka mazingaombwe nig.ga,
Tisha kama njaa omba jesus arudi kabla sijafika,
Mistari finyu na stimu zako za wida,
Unataka battle mkali nimeitika barida
Cha maana sina ila nna bonge la mashine,oyo unabonga sana,
una kipi cha maana,
mtoto wa jana,
jifunze kupanga vina,
fasihi ni sanaa,
matusi tunakataa,
hata tukiwa baa,
bado beti zinakaa,
sikia broo leo yesu kazaliwa
japo club wengine wanabambiwa
usilewe sana vicoba unadaiwa
kazi na dawa, usije ukavimbiwa
Bro we bdo sana kwa mashairi .....Bro mi ni noma
Kwa Mitindo huru /
vina vyangu homa
Uliza uchagan hadi mbulu/
Wana wananisoma
Usijilengeshe mi siogopi kukufuru /
Ok nikuweke kwenye list?
Msela umeandika nini mbona umeandika utumbo,Bro we bdo sana kwa mashairi .....
Jipange usikariri ....
Vina vyako havijajipanga
Vivyeupe ka Toto za kimanga
Usitutishe kukufuru ....s n balaa zaid ya gulu
Machiz s miujiza mpka mwanga unaomba kiza ......
S ndo washind tusoshindika .....madokta zaidi ya shika .....
Castr unayumba mwana,Cha maana sina ila nna bonge la mashine,
Linasaga mpaka kokoto mashine langu usipime,
Mwana umeshiba pilau halafu unakanyaga moto,
Nitakupa mistari ucheue ujute kuniquote mkali,
Hater kula mistari mitamu kama asali,
Ukivimbiwa lala ukue, usugue tumbo mpaka ukenue,
Kwa kufatisha hivi vina mpaka washamba mnijue,
Nakufilisi utachalala utamzidi mpaka Eboue,
Dogo usipaniki usiflow maruwe ruwe
Uko safi bronimeshatikisa nyavu mi ndo MVP,
ROMA nilikusoma mwana kama viunga vya ITV/
Kanali mkimbia kwata bora uwe 2yc,
Tujue moja , na pia kaa mbali na hiyo MIC/
sauti yangu inafika mbali mithili ya BBC,
Na Hustle sijaanza leo toka enzi za DDC/
Enzi mnajinyea hamjui simu wala misemo kama TBT/
Na Mhando anasuka mambo ndani ya TBC/
Kabla ya wakali kufa hasa Ezy E,
Achana na Ima wa mbeya leo anajiita Izo B/
sifurukuti nipo imara hadi END,
Still in HOP kama DRE/
leo nagawa maarifa wananiita DIT,
Viunga sikosekani nasomeka VIP/
tuzo kibao sijabakisha hadi za BET,
wajinga kutwa mikeka mnaishia ku- BET/
huku tour nazima kila jiji mpaka NYC/
Kifupi niite JORDAN ndani ya NBC/
Dogo una mistari laini dizaini ya super loaf,Castr unayumba mwana,
Benny unatoa mistari laini sana,
Kidume nimekuja kuwachana,
Nasimama, nyie mmeinama.
Nani wa kuniweza mimi?,
Rhymes ndo zinaniweka town,
Katu, hakuna wa kunishusha chini,
Acha porojo leta MIC kama huamini.
Kuleni pilau mkishiba mkalale,
Hatutaki jau ku-battle na watoto wa shule,
Msijisahau, kumbukeni kufua sare,
Msilete dharau, chief niko mbele.
Mnatuboa kwa mistari ya visingeli,
Nawapa dawa ya wa kuwaponya akili,
Naona mnaugua mbele ya daktari,
Hampo sawa, hip-hop mshafeli
Ha ha haaaaa nacheka nina amani,Dogo una mistari laini dizaini ya super loaf,
Umenitaja legend kama muvi na mkali lufufu,
Nimelala naamshwa eti we ndo unaleta usumbufu,
Jipange tena rudi skuli dogo ukapate cheti,
Sishikiki mi mkali we ngoja mida ya kubeti,
Dogo umejikaza umeamua kuushika moto,Ha ha haaaaa nacheka nina amani,
Swala kaingia na simba vitani,
Kujiita legendary ni kufuru, si utani,
Kacheze na watoto, wazee tuko sebuleni.
Nishakuchora, nkakusoma, huna kitu,
Kwenye ubora, nikikoroma, hakai mtu,
Nimetia fora, kila kona, mistari kuntu,
Niko imara, tasimama, we like tu.
Nikisema pipozzz, mtaitika power,Dogo umejikaza umeamua kuushika moto,
Mistari haina swaga umeamua kuijaza ukoko,
Time nakimbiza kijiji mwana nachana uzi mzima,
Wote nililamba vyombo hakuna aliyeachwa mzima,
Nashusha kipigo heavy hapa umeachwa mataa,
Napiga lyrics kazi hapa umelivaa balaa
Nikisema pipozzz, mtaitika power,
Nina mistari konzi, tega upara upate dawa,
Natoa dozi, kila mtu anapagawa,
Nishakutia simanzi, umebaki unachachawa,
Huna pozi, ka teja mtumia madawa,
Ukubwa wa skonzi, unamezwa na chai ama kahawa,
Kaimbe mapenzi, hip hop tuachie tunaojua,
Dogo ntakusugua ukizidiwa nipe like,Nikisema pipozzz, mtaitika power,
Nina mistari konzi, tega upara upate dawa,
Natoa dozi, kila mtu anapagawa,
Nishakutia simanzi, umebaki unachachawa,
Huna pozi, ka teja mtumia madawa,
Ukubwa wa skonzi, unamezwa na chai ama kahawa,
Kaimbe mapenzi, hip hop tuachie tunaojua,
Bro we bdo sana kwa mashairi .....
Jipange usikariri ....
Vina vyako havijajipanga
Vivyeupe ka Toto za kimanga
Usitutishe kukufuru ....s n balaa zaid ya gulu
Machiz s miujiza mpka mwanga unaomba kiza ......
S ndo washind tusoshindika .....madokta zaidi ya shika .....