JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Mask on mask off vua hilo mask shit,

Castr nimerudi na mistari so sweet,

Nikawapiku wajinga wajinga waliotaka bifu,

Crushed em so hard ushindi ukanikifu,

Thought am done? nazinduka ka Lisu,

Huu uzi bingwa mimi ujinga peleka kwingine,

Umejaa umama mwingi mi ndo mwanaume mashine,
 
Mistari hii sakata jipya zaidi watu wasiojulikana,

Ukizingua naku lissu tena kweupe mchana,

Napiga hodi pisha nakutoboa unayebana,

Na nimejipanga naweza shambulia kwa kila zana
 
Lyrics tata kali kali rapaz shit mnableed,

Unakuja na mistari miwili fuvk off u are kiddin,

Mistari mitamu inalevya zaidi ya dawa za Chidi,

Rapa mistari shit kama supu na papa anayemtoa Gigi,

On top nipo peke yangu mpaka nahisi baridi,

Umejaza ujinga kwa mistari ka wowowo la Zaiidi
 
Maemc uchwara mchwara, napoteza kama hivi.../

Eti hampendi kuniona, mnazima na tv.../

Sa mi ndo yule rapa, naetafuna kila biti...

cheki bila kiki, nawakimbiza ka kibiti.../

Nifico.
 
Maemc uchwara mchwara, napoteza kama hivi.../

Eti hampendi kuniona, mnazima na tv.../

Sa mi ndo yule rapa, naetafuna kila biti...

cheki bila kiki, nawakimbiza ka kibiti.../

Nifico.
Mzee mistari shit umeikurupua jiji la makumbusho,

Castr am so gud ngoja nikupe mistari ya uso,

Ebwana hauwezi kitu hapa umevagaa moto,

Sijaingia humu kitambo umenikuta na arosto,

Castr am so good ngoja nikupe msoto.
 
Mzee mistari shit umeikurupua jiji la makumbusho,

Castr am so gud ngoja nikupe mistari ya uso,

Ebwana hauwezi kitu hapa umevagaa moto,

Sijaingia humu kitambo umenikuta na arosto,

Castr am so good ngoja nikupe msoto.

Mc una arosto, mi ndio sober ya mistari..../

nakuweka kwenye bato, nikumurder so siri..../

na hili chimbo la jambazi, kuwa mpole ntakukill.../

punch zangu hazipungui, kama mali ya bahili.../
 
Check nazua gumzo,Jf ninapotimba

Nawachora ka kibonzo,hawa pimbi wakata kimba

Npo guda kwenye lyrics, na flow

I got more technics,ka juma mchopanga jay mo

Waambie siuziki ka kaptula,karia kooo

Wache wauze sura,wakt mi nauza flow
 
Natoka slums kila nyumba ni X/
Hakuna wachumba starehe kubwa ni Sexy/

Huku ndumba nikanyaje utoke busha tenesi/
Hatuongei vya maana hapa ni pumba kinyesi/

Usishangae mtoto mdogo akakupiga kibesi/

Hata mtungini watu wanakata Gogo na kujihisi wepesi/

Mabashite kila angle hakuna habari za vyeti/
Na tunaziba kila pengo hata ukifa ni fresh//

Hatuna mbunge polisi au waziri/
Tunaishi kinyama sio ujamaa kama niki wa pili/
Kabali za shingo ndo somo tuliokalili/
Ukizingua ni zuna hakuna mambo ya albadri/

Ikileta polisi misimamo hatuwezi badili/
Tushapinda kila leo kupona hatuoni dalili/
Na tunadinda hata kwa malapa sio mpaka chuchu saa sita kamili/

Mcheki pusha atembezee stick bablai/
Usela wa kinafki huwa hauna maslahi
 
Cheki nawachoma kama jani..

kwenye geto la masela.../

na wakibana dundo...

mi naflow acapela..../

Sa mi so muhuni...

mi so msela..../

Huwa sifagilii...

hizo mishe za kifala.../

@Nifico.
 
Natoka slums kila nyumba ni X/
Hakuna wachumba starehe kubwa ni Sexy/

Huku ndumba nikanyaje utoke busha tenesi/
Hatuongei vya maana hapa ni pumba kinyesi/

Usishangae mtoto mdogo akakupiga kibesi/

Hata mtungini watu wanakata Gogo na kujihisi wepesi/

Mabashite kila angle hakuna habari za vyeti/
Na tunaziba kila pengo hata ukifa ni fresh//

Hatuna mbunge polisi au waziri/
Tunaishi kinyama sio ujamaa kama niki wa pili/
Kabali za shingo ndo somo tuliokalili/
Ukizingua ni zuna hakuna mambo ya albari/

Ikileta polisi misimamo hatuwezi badili/
Tushapinda kila leo kupona hatuoni dalili/
Na tunadinda hata kwa malapa sio mpaka chuchu saa sita kamili/

Mcheki pusha atembezee stick bablai/
Usela wa kinafki huwa hauna maslahi
hatareeeeeeee agiza mihogo kwa mama pili nakuja kulipia
 
Mc una arosto, mi ndio sober ya mistari..../

nakuweka kwenye bato, nikumurder so siri..../

na hili chimbo la jambazi, kuwa mpole ntakukill.../

punch zangu hazipungui, kama mali ya bahili.../

Mwana umeniquote notification mwendo wa kinyonga,

Nimechelewa kufika boy nimekukuta unabonga,

Chimbo unachimba nini mistari makinikia,

Mpaka uundiwe tume ndiyo wana tutakusikia,

Punch zako feki weupe wa Ray ukasome,

Nakuchapa na mistari tata mpaka kuniquote ukome
 
Natoka slums kila nyumba ni X/
Hakuna wachumba starehe kubwa ni Sexy/

Huku ndumba nikanyaje utoke busha tenesi/
Hatuongei vya maana hapa ni pumba kinyesi/

Usishangae mtoto mdogo akakupiga kibesi/

Hata mtungini watu wanakata Gogo na kujihisi wepesi/

Mabashite kila angle hakuna habari za vyeti/
Na tunaziba kila pengo hata ukifa ni fresh//

Hatuna mbunge polisi au waziri/
Tunaishi kinyama sio ujamaa kama niki wa pili/
Kabali za shingo ndo somo tuliokalili/
Ukizingua ni zuna hakuna mambo ya albadri/

Ikileta polisi misimamo hatuwezi badili/
Tushapinda kila leo kupona hatuoni dalili/
Na tunadinda hata kwa malapa sio mpaka chuchu saa sita kamili/

Mcheki pusha atembezee stick bablai/
Usela wa kinafki huwa hauna maslahi
Tisha sana mkuu
 
Nmeshavamia kijj wenyej jipangen mfunge mkwji/
Nawajaza ki friji kwan mistar yenu ya baridi/
Mc kutoka tzee nawachalazia ki hivii
 
Back
Top Bottom