Nizzoh824
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 239
- 140
unapaswa ujue humu sinaga mshindaniTazama unavyo ghani, huna uzito kwangu unaelea
huna vina wala mzani, nahisi kama nakuonea
Mi' ni gwiji kwenye fani, dah! ni vipi utaponea
ulinijaribu kama utani, ona sasa unapata fedhea
wengi mnasarenda , pind niwapo mchezon
napo wakalisha nyie mafeki,weng huic kama utan
Ila nasomeka vyema navyo kuchapa tu key board
Yap