JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Huyo utambaka..

Njoo kwa Mimi kaka wa makaka..

nina Uhuru pia madaraka..

JF ma-snitch wengine motherfacka..

sikulazii damu..

nakula ndogo ukinipa kubwa naskia utamu..

napiga voda napiga pia tigo.. we kidenti subiri nikuvushe wigo..

mwambie shoga yako miss chagga nina bonge la muhogo..

ariff Leo mashabiki watakukana..

twende kote ruksa kutukana..

tukana kijanja usitukane hadharani..

Mkuu Invisible atakupiga Ban..

Kama nimekukosea basi samahani
Unataka trash talk muuhfucka umefika,
Mtengwa alishindwa hii walk sasa hiv kajificha,

Ishakua noma wananiquote mpaka vifurugobe,

Mkuu una mipasho au hii ni id ya Kaoge? Jitahidi kukaza mbona una mistar ya kinyonge?

Ngj nchukue tren ya Magu nkifika nkugonge, vtu vya moto skumwagii yani ni mpaka uombe,

Hiyo ni mistar ulidhani nini kingine, hua namwaga mistari wala simwagi vingine.
 
Unataka trash talk muuhfucka umefika,
Mtengwa alishindwa hii walk sasa hiv kajificha,

Ishakua noma wananiquote mpaka vifurugobe,

Mkuu una mipasho au hii ni id ya Kaoge? Jitahidi kukaza mbona una mistar ya kinyonge?

Ngj nchukue tren ya Magu nkifika nkugonge, vtu vya moto skumwagii yani ni mpaka uombe,

Hiyo ni mistar ulidhani nini kingine, hua namwaga mistari wala simwagi vingine.
vingine havina maana kama verse ulizochora fake mc kama wewe hii haikufai tafuta mishe nyingine

leo upo nami plan master nakupa somo kwa darasa ili uelimike uwe strong na upambane

how you can be in better flow ciz upo simple kwa hiyo michano kamwe hauwezi kuscore


sikukatishi tamaa iko ivo nakupa fact unaflow bila evidenc kama ujazo we ni puto ila unajiita mnene


still i will beat u ubongo wako haupo quality hata nikikutrain hautokwiva lazima ujikane

ngoja nikuache bwana mdogo hauwezi kucompit leo nimekuja kiivi next i will be kivingine
IMG_20170406_152237.jpg
 
shakespear me ni wiliam don ka JAZZ
gang fill out nakujaza ka blanks
sio multpochoise
me ni mark ka frog
nawafunga mawak wananiita nati la choo
baki la boo
nakuchinja kimya kimya na utataka tu more
unaniimbia nakuhitaj ka gaz t
washamba mnakufa maji ka young dee
dadaako namuoa tsup she
wanaodis wanapa high wasuck dick
Najua unawanga ukiniona kwa anga ka Swispot/ mc natema sound ka disco/nakuchek unavyohema nikikutekenya G spot/huwezi nidiss bro nakukalisha kimwili and spiritual/na kill flow unabisha nikuoneshe navyosteal show/huna vina na huwez kurap/nikiibuka mtu mzima huwez nistop/am on top we ni fanz na inabd uclap/me ndo gwiji na ntazidi kuwakalisha Manyapu!,
 
Najua unawanga ukiniona kwa anga ka Swispot/ mc natema sound ka disco/nakuchek unavyohema nikikutekenya G spot/huwezi nidiss bro nakukalisha kimwili and spiritual/na kill flow unabisha nikuoneshe navyosteal show/huna vina na huwez kurap/nikiibuka mtu mzima huwez nistop/am on top we ni fanz na inabd uclap/me ndo gwiji na ntazidi kuwakalisha Manyapu!,
flow disco light namulika mpaka shimo
ndoo mr nice kikuku mguuni imo
nasalisha maninja niite don boscow
unawakilisha maboko niite j nyoso
j popo
nikipaa wanasema j nyoko
sio j alosto
nakunyima dawa nakupa reli niite j ********
me ndio profesor damn shit niite j toto
fidodido wapi fidovato
nnahasira za mvuvi cheki hasara plane nothing bought
muthapuka mzee wa akapuka ni aje bro
muko so many amba mumeniquote
kaa pembeni nakate washamba wenzako
ukimind dem wangu niite AKA MME WAKO
nakata pua naunga wajihi kama wako jacko
 
'Refa ni wao, piga manati'.
'Vita ya wa Masai na Waman'gati'.
'Pumzi imekata wanashika shati'.
 
Ok ok naona umeamua kuyavagaa ungetulia huko huko kama kuku anayetaga,

Umeingia mbio mbio kama mlevi wa safari laga,

Mistar so poor haimpati hata miss chagga,

Kwakua umejileta haina noma nakulaga,

Show bado hazijaisha endelea kujifunza swaga,

Unatumia siku 3 kufikiria cha kinijibu, hauko levo yangu hivi kweli huoni aibu?

Ubishoo mwingi mistari hovyo kama virasta vya Chibu,

Tia sana vitasa siku nyingine usinijaribu, kila ukiniona toa sura ntakuharibu,

Umekuja wima wima ona sasa umekaa, kwenye freestyle wewe bado ndiyo kwanza unatambaa.
flow zako vina malenga ka kiuno umelega lega
taarabu iliyotukuka nani unamlenga
me ni tyson ni tie usoni nikufunge kama saigon (oi)
hii ni payphone nacall ka ivon sio chaka ni maji mtoni (boy)
nipo kati nakupa amba tite sio dom ni centralZONE (worn)
onyo kwako na wenzako ukiquorte andaa barz
ukikimbia shule hunielewi coz nnazaa punch still upo far u gat
lyricly mathemarica ka lupe nnafiasco sio scar face
upo busy time yako kuskiza mawak wa fasy na dwas
nnapokaza unawaza kuchambua ka saida na karanga
hili vanga sio sixfoot seven JITU LENYE PESA NII TE BANZA
nna stone za dhahabu matawi kama langa
still nipo kidebe similiki doo DOGO JANJA
nikifoka wanaomba poo ka zebanga
nkuku kongo madiba joe mafela shebeneza
mbutalikasu ebeneza enzi za masela
enzi za hela
matondo ya beya kama mistika na rosa nipo jela
nguva me ndio king nakupa za SALMA WANANIITA NGUZA VI KING
naunguza russia niite big pin
najitega na bom la flow niite PUTIN
 
vingine havina maana kama verse ulizochora fake mc kama wewe hii haikufai tafuta mishe nyingine

leo upo nami plan master nakupa somo kwa darasa ili uelimike uwe strong na upambane

how you can be in better flow ciz upo simple kwa hiyo michano kamwe hauwezi kuscore


sikukatishi tamaa iko ivo nakupa fact unaflow bila evidenc kama ujazo we ni puto ila unajiita mnene


still i will beat u ubongo wako haupo quality hata nikikutrain hautokwiva lazima ujikane

ngoja nikuache bwana mdogo hauwezi kucompit leo nimekuja kiivi next i will be kivingineView attachment 499420
Mzee umenirukia kwa bashasha ila sasa unafeli,

Unataka kiki kwa Castr kwa hiyo mistari ya singeli,

Una kasura kazuri na kashepu kama Samu wa Ukweli,

Gimme eerthing I blow it an I swear I wont tel,

Ila mzee si kwa huo wembamba umenyoka kama jokeli,

Boxa unavalia mkanda unanyanyuliwa na upepo wa feni,

Nisikugonge sana naona kwenye show we bado mgeni,

Bado hujajua nani king huyo ni Castr wengine bosheni.
 
flow disco light namulika mpaka shimo
ndoo mr nice kikuku mguuni imo
nasalisha maninja niite don boscow
unawakilisha maboko niite j nyoso
j popo
nikipaa wanasema j nyoko
sio j alosto
nakunyima dawa nakupa reli niite j ********
me ndio profesor damn shit niite j toto
fidodido wapi fidovato
nnahasira za mvuvi cheki hasara plane nothing bought
muthapuka mzee wa akapuka ni aje bro
muko so many amba mumeniquote
kaa pembeni nakate washamba wenzako
ukimind dem wangu niite AKA MME WAKO
nakata pua naunga wajihi kama wako jacko
Kata pua yako we wacko tako/nakata funua naua we na mentor wako/ mtaa unajua navyomtumbua anonymous/in da house ila natema flow behind bars/huwezi race acha kibesi/kwa tetesi nitakukamua mpaka kinyeshi/na battle kijeshi we mshamba uwezi tamba kwa kiwavi jeshi/nakuharibia public sikupeleki gesti/me ni Mc mahiri/natoa dalili mtaa ukujue we Mc batili/pinga ndumba omba albadil/bado utayumba mbele ya nyota ka alfari/au bashiri nani atakae kuharibu hadi sehemu za siri/Game ndo hili free style we kariri
 
Andaa dictionary la hip hop ukitaka kubatle

nipo sheba around the world ALEXANDA THE GREAT
nakuta madogo wanabatle naanza kuwapa drip
wakwanza nikampa alichotaka bonge fist
akataka kukoroma nikampa bonge la kik
wapili akataka kuchora ma fix
kumbe level zake Fuji hana hata frees
nikamzima faster faster bila hata switch
watatu akaleta ubabe kama azma
now yupo astaravaste hana stamina
nimemsharagasha now ananiskia kwa antena
kichapo alichokula hana ham tena
wa nne, aliniquote akatema shit za isha
anajiita inz wa kijani alijaribu kunirusha
nikamkata mabawa kama msami now amezuzuka
ananichek kwa mbali mchiz ashajuta
wa tano ameshalike nasubiri replay
atajua me ni msela au jafarai
shakalisha wazee muulize mwana FA
nikamchezesha bila kukunja got yupo hoi mzee
sikohoi mazee
niko hoi sikohoi
 
Back
Top Bottom