JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

Imekaa sawa mpaka hapo....

Mengine nasubiri mawasiliano ya wadau, japo nafasi yangu unaijua ilivyo ya kimagumashi sana japo sipendi kuangusha watu.
Otherwise tupo pamoja.

mi nakuangalia tu hapa unavyotoa maelezo wakti hujaaga !ehehehehe sasa ndo uone UTAKAVYOWAANGUSHA SASA!
 
Wazo la kwanza; kamati ya maandalizi inaundwa na 25% ya waalikwa..........
 
hizo tarehe 3 na 4 wengi wanakuwa bado wako likizo wanamalizia sherehe na familia zao ... wengine wako mikoani n.k....

sitaki kuuliza kama umesoma shule ya msingi kwiro.....au ukwama....umenikumbusha mbali sana
 
Nimefuatilia uzi huu mwanzo mwisho sijaona conclusion kuhusu mchango uliopitishwa ni kiasi gani na ukumbi gani umekubaliwa, au miwani yangu imenificha nisione sijui! Mwenye hizo info naomba tafadhali
 
Nimefuatilia uzi huu mwanzo mwisho sijaona conclusion kuhusu mchango uliopitishwa ni kiasi gani na ukumbi gani umekubaliwa, au miwani yangu imenificha nisione sijui! Mwenye hizo info naomba tafadhali

aisee sijui party hii imeishia wapi Mtambuzi ukuje huku utupe majibu

too bad lara one nae kapewa ban
 
Last edited by a moderator:
ulipotelea wapi bestito jamani haya michango ishatangazwa na siye ni wanakamati hivyo mchango ni sh 30,000/= @ single kama ni double una+ hapo na ukumbi tulipata ule wa kebby lakini kama na wewe unawexza tafuta ukumbi mzuri na ambao utatupa go ahead kwa matanuzi yetu binafsi waweza kutuambia uwanja ni wako
Dooh! Yanekuwa haya tena?! Lakini ngoja tusubiriye labuda waandazi bado wanasherekeya muaka mupya watatuwelezeya wachimaliza
 
ulipotelea wapi bestito jamani haya michango ishatangazwa na siye ni wanakamati hivyo mchango ni sh 30,000/= @ single kama ni double una+ hapo na ukumbi tulipata ule wa kebby lakini kama na wewe unawexza tafuta ukumbi mzuri na ambao utatupa go ahead kwa matanuzi yetu binafsi waweza kutuambia uwanja ni wako

Aksante shositi mboni mimi ntachangia singo tu manake dabo naikuta humo humo kweni pati ndani. Nielekeze muchango nimpe nani? Na kuhusu ukumbi huohuo unafaa tu ila nyomi ya mwaka huu ni zaidi ya mwaka hule, fikiria kupewa ukumbi wa pembeni au hule wa juu. Ni ushauri tu mkulu
 
hapo kwenye huo uzi kuna namba ya kutuma hizo hela mtumie Mtambuzi kwa hizo no hapo juu
Aksante shositi mboni mimi ntachangia singo tu manake dabo naikuta humo humo kweni pati ndani. Nielekeze muchango nimpe nani? Na kuhusu ukumbi huohuo unafaa tu ila nyomi ya mwaka huu ni zaidi ya mwaka hule, fikiria kupewa ukumbi wa pembeni au hule wa juu. Ni ushauri tu mkulu
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi miye naomba kujuzwa hiyo party ni ya JF member wa siku nyingi mnaofahamiana au hata kwa siye wageni?
 
Mkuu mbona hii hamjaiendeleza mwaka huu
secret-meeting-women-men-party-sex-delaine.jpg


Haya tena wadau wa JF.
Ndio tunaumaliza mwaka 2013 na tunaukaribisha mwaka 2014.
Kama mnakumbuka January 2013 tulifanya White Party pale Kebby's Hotel Mwenge ambapo ilifana sana.
Kwa mara nyingine tena tunaandaa Party nyingine ambayo itafanyika tarehe 25 January 2014 katika ukumbi utakaotangazwa kadiri muda unavyojongea kwa sababu bado tunao muda wa kutosha.

Kamati ya maandalizi inaundwa na wana JF wafuatao:
1. Paloma
2. Mtambuzi
3. gfsonwin
4. Madame B
5. Vin Diesel
6. jouneGwalu
7. Jiwe Linaloishi
8. cacico
9. lara 1
10 ladyfurahia
11. Kipaji Halisi

Siyo lazima kamati hii ikutane bali wajumbe wa kamati hii watakuwa wakiwasiliana kwa simu au kwa PM au hata kwa kuweka mapendekezo yao katika huu uzi kw aajili ya kufanikisha hafla hii muhimu kwetu.

Hapa chini nitaweka mchanganua wa bajeti inayohitajika ili kufanikisha hafla hii:

Cocktail Menu kwa makadirio ya watu 40 watakaohudhuria

Mahitaji
Idadi
Gharama
Jumla
Ukumbi100
BitesKwa watu 40@15,000/=600,000/=
VinywajiKwa watu 40Beer 4 @3,000/=480,000/=
Mziki1@150,000/=150,000/=
Corkage kwa vinywaji vikaliChupa 5@15,000/=75,000/=
Jumla1,305,000/=

Kwa hiyo kwa makadirio ya bajeti hiyo kila mdau anatakiwa kuchanga kiasi cha shilingi 35,000/=

Au

Dinner Menu kwa makadirio ya watu 40 watakaohudhuria

Mahitaji
Idadi
Gharama
Jumla
Ukumbi100
DinnerKwa watu 40@20,000/=
800,000/=
VinywajiKwa watu 40Beer 4 @3,000/=480,000/=
Mziki1@150,000/=150,000/=
Corkage kwa vinywaji vikaliChupa 5@15,000/=75,000/=
Jumla1,505,000/=

Kwa hiyo kwa makadirio ya bajeti hiyo kila mdau anatakiwa kuchanga kiasi cha shilingi 40,000/=

*Mimi Mzee Mtambuzi nitajitolea chupa tano za vinywaji vikali ambvyo ndivyo vitakachochajiwa Corkage ili viingizwe ukumbini. Hapa nazungumzia vinywaji kama Contesa, Strawberry Lips, Govinder Kumar, Vodka, Jack Daniel, n.k.

Bajeti hii nimeikadiria kwa kuangalia gharama za hoteli zinazofanana na Hoteli ya Kebby's mahali tulipofanya White Party January 2013, kwa hiyo zinaweza kupungua au kupanda kulingana na idadi ya wadau watakaohudhuria au hoteli tutakayoichagua.

Naomba wanakamati washiriki kikamilifu kutoa maoni yao kwa sababu wao ndio wahusika wakuu wa hafla hii. Baadaye nitaweka uzi kueleza yale yaliyoafikiwa na wadau mbalimbali.

Naomba sasa niwakaribishe wadau mbalimbali watoe maoni yao ili twende sawa.

Karibuni sana

spa-party-massage.gif
 
Back
Top Bottom