Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Chuki,wivu ,umasikini ,roho chafu,kijicho ndiyo matatizo yetu makubwa.Bila kuondokana nayo maisha yote tutakuwa watu wamwisho katika ulimwengu huu.
Kwa nini tuko hivi? Kama mtu kaacha home mke wake,wewe inakuhusu nini? Kama kaja na mwanamke wa Thailand inakuuma nini?
Familia zao zinaneemeka kwa mafuta yao,sasa wakiwekeza ili wastarehe wewe roho inakuuma kwa nini?Kwa hali hii hatuwezi kuendelea kamwe.
Sina shida na wageni kuja nchini. Lakini ningekuwa kiongozi ningewakamua vizuri kwenye malipo ili mapato yawanufaishe wananchi wangu maskini. Tatizo la viongozi wetu ni kuacha wageni wanatanua kiasi hicho kwa malipo cheeee! Inauma sana.