Wana JF,
Namshukuru Mzee Mkjj na ka inzi kake kwa kutuletea hii habari. Lakini kwa mtizamo wangu wa haraka haraka kutokana na minute za kikao naona kuna mapungufu mengi sana sijui ni ya matatizo ya mwandishi au imefanyika makusudi ili kudanganya umma kwa kuisambaza kupitia kwa Mkjj ili kutudanganya (danganya toto waswahili wanasema). Kuna mambo ya msingi hayapo kwenye minute za hiki kikao,
1. Nani alikuwa mwenyekiti!!!
2. Nani alikuwa katibu wa kikao!!!
3. Nini yalikuwa maazimio ya kikao kwa ujumla? Yaani walipokea taarifa kutoka kwenye kata halafu mkutanio ukaisha?
4. Mbona kikao hakikuzungumzia mikakati ya jumla ya kuongeza % ya ushindi?
Ndo maana mi nikasema aliyeandika hii report hajui alichokuwa anafanya, Wizi mtupu...........
Hakuna kitu hapo, wajiandae kufunga virago!
Hakuna simile kwa mafisadi, jamani tumeisha ambiwa enough is eno..
Sasa kama wao wenyewe wanaji eavaluate kwa asilimia 60? si waweke asilimia 80 za kishindo?