msamehe amekosa kitu inaitwa "LOGIC"
the opposite holds as well.
Logic mmekosa nyie, naona mnhaororoja na kubwabwaja mkiambiwa wekeni basi ushahidi mnaleta vitu vya kijinga kabisa.
Silioni jipya, mngoje tu, ripoti ya Zitto Kabwe, muanze kuhaha.
Kama hamjarudia kusema Zitto Kabwe ni CCM, tutaona hapa.
logic mmekosa nyie, naona mnhaororoja na kubwabwaja mkiambiwa wekeni basi ushahidi mnaleta vitu vya kijinga kabisa.
Silioni jipya, mngoje tu, ripoti ya zitto kabwe, muanze kuhaha.
Kama hamjarudia kusema zitto kabwe ni ccm, tutaona hapa.
Umesoma post namba moja alichonukuliwa Rais au kazi kushabikia ujinga tu? Kama umesoma, hebu weka hiyo nukuu hapa halafu ujione ulivyo punguani.
Logic mmekosa nyie, naona mnhaororoja na kubwabwaja mkiambiwa wekeni basi ushahidi mnaleta vitu vya kijinga kabisa.
Silioni jipya, mngoje tu, ripoti ya Zitto Kabwe, muanze kuhaha.
Kama hamjarudia kusema Zitto Kabwe ni CCM, tutaona hapa.
Kwa lugha nyepesi ni kuwa hawa "nguruwe"(CCM) walizidiana ulafi na kuanza "kudhulumiana"..Sasa kuna kundi jingine la nguruwe baada ya kuona "wamedhulumiwa sana" wakaamua sasa watamwaga ugali..na nguruwe wengine nao wanadai watamwaga mboga Siku ya kumwaga ugali na mboga ni jumatatu kwa hiyo mkuu jumatatu tembea na TV yako
Ndio kusema upinzani walipewa tu hizo datazi kutoka kwa nguruwe"wazalendo"..Wapinzani wakazimwagwa data uwanjani... na huyu mmwaga data mpaka sasa analindwa na hao nguruwe "wazalendo"
Ninavyojua mimi tushukuru huko "kudhulumiana" kwao ndo tumepata hizo data
We mkuu hujaona swala la katiba lilikuwaje!!!upinzani, wamelia wee lakini hawajasikilizwa na swala la katiba ndio muhimu zaidi lakini magamba wakalidharau..lakini hili la mkwanja wamejitokeza hawa magamba sio wakuwaamini mkuu..
Likiisha hili kuna jingine limeshaanza kufumuka..hili ni la ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hapo napo kuna hela ya kufa mtu, hii hela ya Singa wenyewe wanaiita hela ya ugoro hapa ndio CCM itakuwa ni kitimtimu maana hawa watakaojeruhiwa jumatatu lazima wafe na wale wa gesi
Kakobe atakumbukwa...
narudia tena wewe umekosa kitu inaitwa syllogism (logic)
Ukisikia kuhororoja na kubwabwaja ndio huko, hiyo ndio hoja yako ya escrow?
Punguani wahed.
Mwambie akili za kuambiwa changanya na zako awe anasoma nyaraka kabla kuiweka sahihi au kupokea hundi bila kuiangalia ipoje, kama una kumbukumbu profeda wa kichina alisaini karatasi kwa mbwembwe kuna ndani pana usanii hadi Dr Slaa aliposema jakaya ulichosaini hakipo sawa,Udhaifu wake wa kutosoma documa ndo unaomletea shida.
Siku hizi na wewe unajuwa neno punguani na kuhororoja? na nna uhakika hata kubwabwaja unajuwa.
Thanks to FaizaFoxy.
Sasa kama mambo ni mepesi jinsi unavyoyaona wewe bibie,hizo sarakasi za kunyofoa hizo kurasa ni za nini? Hivi unadhani hao Magamba wenzio wangekuwa wanaona kama unavyoona wewe kungekuwa na sarakasi zote hizi?
Kwa nini unapenda kutafutia wanaJF ban? Hata hivyo...kwa namna moja ama nyingine masakata haya ya Escrow na Bomba la gesi...yatakuwa yamekukwangua mahala ....na hicho kidonda kilichotokana na mkwanguo huo....hakiponi...!!!Ukisikia kuhororoja na kubwabwaja ndio huko, hiyo ndio hoja yako ya escrow?
Punguani wahed.
tatizo lililopo humu ni wengi kutofahamu nia ya INVISIBLE! yeye ametoa angalizo kuwa kwa kuwa kuna tetesi za kuchanwa kwa baadhi ya page katika report ya ESCROW, hakuna kitachoharibika kwani yeye anayo zikiwemo na zinazosadikiwa zimechanwa, akazibandika baadhi ya page ili kuwaakikishia kuwa report anayo.....na yuko clear kwamba anaheshimu bunge ....na siyo kwamba hicho kinachofichwa kiko kwenye page hizo mnazoziona, ila itakapobidi basi itaichapishwa humu JF