Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Kuna tatizo nahisi liko psychologically yaan nina hulka ya kuwaza sana na kujikosoa hata ktk issue za msingi na siipendi hali hii kwani inanifanya niwaze mbali na kufikwa na uwoga,kitu kinachoathiri Afya yangu na FUTURE.at large.Niliepukeje hili?