Secret person
JF-Expert Member
- Sep 23, 2019
- 242
- 358
Habari za usiku wakuu,
Kabla sijaelezea kwa undani sana Suala la dharura linalonikumba katika afya yangu ambayo kwa dalili zote nahisi nitakuwa nimeunasa ugonjwa wetu ambao inaweza semekana Haipo nchini.
Siku ya Ijumaa Mchana nilianza kujisikia vibaya kuumwa kichwa kwa sana kutapika kukooa mfululizo na kutohisi hamu ya kula kwenda kwenye dispensary nilipima malaria na UTI majibu yalikua BS results ya Malaria Positive na UTI Negative Hivyo Dr alinianzishia dose zifuaatazo
ALU tabs
Amoxiccilin 250 mg 2/7
Paracetamol
Cough syrup
Baada ya kuanza dose kuanzia siku hiyo ya ijumaa nilikuja kumaliza mseto jumapili na huku dawa nyingine zikiendelea lakini hali bado iliendelea kuwa vile vile ambapo nikaamua kwenda kwenye hospital kubwa iliyopo barabara ya kutoka Mikocheni hadi morroco kufika nikapima malaria na FPB.
Majibu yalikuja kuonyesha sina na malaria na wala bloos yangu haina shida yoyote hivyo Dr alinipa Ibuprofen tabs na Cough syrup nyingine zecuf na kuniambia niendelee na Zile antibiotics hiyo ni jana.
Wakuu ninapoongea Hapa nipo macho sina usingizi kichwa kinaendelea kuuma balaa na Huku nikiendelea kukooa kikohozi kikavu kinacholeta sauti kwa mbali na mwili wangu una Joto balaa.
Msaada Wenu wakuu nimeshaanza kujifukiza hapa ndo nimechemsha matangawizi.
Aisee Sijui Huku ndo kufa Huku btw Mbona bado mdogo mimi.
Msaada
Kabla sijaelezea kwa undani sana Suala la dharura linalonikumba katika afya yangu ambayo kwa dalili zote nahisi nitakuwa nimeunasa ugonjwa wetu ambao inaweza semekana Haipo nchini.
Siku ya Ijumaa Mchana nilianza kujisikia vibaya kuumwa kichwa kwa sana kutapika kukooa mfululizo na kutohisi hamu ya kula kwenda kwenye dispensary nilipima malaria na UTI majibu yalikua BS results ya Malaria Positive na UTI Negative Hivyo Dr alinianzishia dose zifuaatazo
ALU tabs
Amoxiccilin 250 mg 2/7
Paracetamol
Cough syrup
Baada ya kuanza dose kuanzia siku hiyo ya ijumaa nilikuja kumaliza mseto jumapili na huku dawa nyingine zikiendelea lakini hali bado iliendelea kuwa vile vile ambapo nikaamua kwenda kwenye hospital kubwa iliyopo barabara ya kutoka Mikocheni hadi morroco kufika nikapima malaria na FPB.
Majibu yalikuja kuonyesha sina na malaria na wala bloos yangu haina shida yoyote hivyo Dr alinipa Ibuprofen tabs na Cough syrup nyingine zecuf na kuniambia niendelee na Zile antibiotics hiyo ni jana.
Wakuu ninapoongea Hapa nipo macho sina usingizi kichwa kinaendelea kuuma balaa na Huku nikiendelea kukooa kikohozi kikavu kinacholeta sauti kwa mbali na mwili wangu una Joto balaa.
Msaada Wenu wakuu nimeshaanza kujifukiza hapa ndo nimechemsha matangawizi.
Aisee Sijui Huku ndo kufa Huku btw Mbona bado mdogo mimi.
Msaada