tbl
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 116
- 41
Hellow doctors please naomba msaada wenu.mara tu ninapoanza menstruation period huwa nakuwa na hasira za ajabu ajabu sana,tukipishana kauli kidogo tu na mtu yeyote ntamuwakia hatari.hali hii kwa mara ya kwanza aliigundua rafiki yangu huwa najitahidi sana kuepuka lakini nnachoshtukia nimeshakwazana na mtu najutia tu.msaada wenu tafadhali nna matatizo gani mie.