JF diaries

JF diaries

Kampuni ya usafirishaji ya “Raphael Logistics” leo Asubuhi Imeanza Safari ya kubeba boti hii kutoka Mkoani Mtwara kwenda Mkoani Mwanza

Umma umejulishwa kuwa gari yenye Namba za Usajili (T351 EAD/T190 DWT) yenye mzigo aina ya BOAT imeanza Safari kutoka Mtwara kupitia mikoa ya Ruvuma-Njombe-Iringa-Morogoro-Dodoma-Singida-Tabora-Shinyanga mpaka kufika Mwanza.

Gari hiyo Imebeba Mzigo ambao una vipimo vifuatavyo:

Urefu - mita 29
Upana - mita 5.6
Kimo-mita 7.4

Kampuni hiyo Imeomba watumiaji wa Barabara hiyo kuchukua Tahadhari kwani safari hiyo itachukua mwezi mzima Kuanzia Leo (June 5,2025) na Wanatarajia kufika Mwanza mwezi ujao (Julai, 2025)

1749194096248.jpg
 
 
Safari ya hii boat inafaa kutengenezewa documentary
 

Attachments

  • 1749205788442.jpg
    1749205788442.jpg
    900.5 KB · Views: 5
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya Limeyafungia Makanisa Sita ya Ufufuo na Uzima yaliyopo eneo la ZZK Mbalizi, Mtaa wa Mnadani Rujewa Wilaya ya Mbarali, Wilaya ya Chunya, Rungwe na Kyela hii ni Kufuatia Tamko la Serikali lililotolewa Juni 02, 2025 kupitia Msajili wa Jumuiya za Kiraia Nchini la kufunga Makanisa ya Ufufuo na Uzima kwa kutoendelea kutoa huduma katika Matawi yake yote yaliyopo Nchi Nzima.

Akitoa Taarifa hiyo Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi Benjamin Kuzaga amesema wnaendelea ufuatiliaji ili kubaini uwepo wa Makanisa hayo na kuchukua hatua za kisheria na Mpaka sasa wameweka Ulinzi ili huduma zisiendelee.
FB_IMG_1749252118016.jpg
 
“Niseme tu kwa uwazi, awali chaguo langu la Makamu wa Rais halikuwa Samia Suluhu Hassan. Nilikuwa na fikra za kumteua Dkt. Hussein Mwinyi. Hata hivyo, baada ya ushauri wa viongozi wenzangu, hasa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, nilikubali mapendekezo yao na kumteua Samia.” – Hayati Rais John Magufuli, 2020.

#TBT #tbthursday #tbt
IMG_20250607_092600_412.jpg
 
Siasa za Tanzania Ulimwenguni.
Hii ni fedheha kwa Taifa na kuchafuka kimataifa, nchi ambayo ilikuwa kitovu cha Amani imekuwa kitovu cha mateso wa Watu.
#fypシ゚ #foryoupagereels #StrongerTogether #share #freedom #follower #trendingreelsvideo #followme #Amazing #StrongerTogether #tanzania #kenya #Rwanda #funny #share
 
Kwanza walikuja kwa Wajamaa (Socialist),
nami sikusema chochote — kwa sababu sikuwa Mjamaa.

Kisha wakaja kwa Wafanyakazi wa Vyama vya Wafanyakazi,
nami sikusema chochote — kwa sababu sikuwa mmoja wao.

Halafu wakaja kwa Wayahudi,
nami bado nikakaa kimya — kwa sababu sikuwa Myahudi.

Hatimaye wakaja kwa ajili yangu,
na wakati huo hakukubaki mtu yeyote wa kusema kwa ajili yangu.

— Martin Niemöller (1947)
FB_IMG_1749279067507.jpg
 
Back
Top Bottom