Kumbe hili tatizo sio Langu tu🤦🏽♀️Mwaya nitakumis sana.
Sisi wengine JF ni kijiwe cha gahawa /kibaraza cha umbea uswahilini , tukichoka na kuuza supu tunakuja kuzogoa humu, hapo mtu haujibu msg wasapu/haupokei simu ila JF uko active.
It’s JF and ticktock for me.
Sugu sana tujitafakari 😂Kumbe hili tatizo sio Langu tu🤦🏽♀️
😅😅 ndio mdau kipenziuko addicted na wewe sio mdau?🐒
Aiseee! Sema mimi inanisaidia sitaki kulower my ego😎Sugu sana tujitafakari 😂
Unaepuka mengi umbea wa mtaani, kuzurura etcAiseee! Sema mimi inanisaidia sitaki kulower my ego😎
tutaftane bana mdau,😅😅 ndio mdau kipenzi
Kwanza nilivyo napenda kujifungia ndani hata week nzima! Acha tu hiki kiwe kijiwe changu! Mtaani kusutwa ni kugusa mamaake 😂Unaepuka mengi umbea wa mtaani, kuzurura etc
HapanaHaruhusiwi kutoa machungu?
😁😁Ukiondoka niachie chumba chako
Punguza sauti hii itamumiiza zaidi si unajua ni shabiki wa CR7We are not Fwb dear!
Location unaijua mdau acha zakotutaftane bana mdau,
ili tuone namna tunavyoweza kupunguzana addictions na stress za aina mbalimbali 🐒